Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Mpira uwe mpira. Kwa Mwakyembe ni siasa tu. Genuine issues za mpira lazima ziende TFF sio kwa Waziri.[HASHTAG]#YeboYebo[/HASHTAG] Nyote Muna akili za Chura!
Katika Press Conference nzima hakukua na hata sehemu moja Manara aliyoilalamikia TFF...
Manara aliolalamikia ni Unaa was Marefa uwanjani na wala so nje ya uwanja (TFF)...
Mpira hauchezeshwi na TFF, Bali Ndani ya Pitch anaesimama ni Refa..
So, jifunzeni ufahamu....
Lakini kwa mambumbumbu, kila kitu kinawezekana. Akili za kushikiwa na Manara na akina Makofia