Simba hatochukua ubingwa wowote msimu huu.

Simba hatochukua ubingwa wowote msimu huu.

Yoav Gallant

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2023
Posts
2,816
Reaction score
6,086
Kutokana na kiwango kisichoridhisha cha hii timu ni dhahiri msimu huu hii timu haiwezi kuwa bingwa kwenye mashindano yoyote inayoshiriki. Kuna uwezekano mkubwa Yanga akatetea makombe ya Crdb confederation na cha ligi ya Nbc. Kombe la shirikisho Afrika wote tunajua kilichobaki ni kukamilisha ratiba tu, Berkane wameshalibeba.
 
Hiyo avator na mawazo yako ni vitu viwili tofauti mkuu.

Mara nyingi umekuwa na Michango ya Kijinga isiyo na Maana hapa JF.

Leo umegeuka Mungu.
Sheck yahaya
Au mtabiri Tambitambi???????

Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa Mwili.
Muda ni mwalimu mzuri mkuu tusubiri
 
Kut
FB_IMG_1747944133358.jpg
okana na kiwango kisichoridhisha cha hii timu ni dhahiri msimu huu hii timu haiwezi kuwa bingwa kwenye mashindano yoyote inayoshiriki. Kuna uwezekano mkubwa Yanga akatetea makombe ya Crdb confederation na cha ligi ya Nbc. Kombe la shirikisho Afrika wote tunajua kilichobaki ni kukamilisha ratiba tu, Berkane wameshalibeba.
FB_IMG_1747944133358.jpg
 
Hiyo avator na mawazo yako ni vitu viwili tofauti mkuu.

Mara nyingi umekuwa na Michango ya Kijinga isiyo na Maana hapa JF.

Leo umegeuka Mungu.
Sheck yahaya
Au mtabiri Tambitambi???????

Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa Mwili.
Tungekuwa tunatumia nguvu hizi kupinga udhalumu hapa nchini tungekuwa mbali sana usimba na uyanga umefanya tumekuwa mazuzu tunasahau mambo ya msingi
 
Tungekuwa tunatumia nguvu hizi kupinga udhalumu hapa nchini tungekuwa mbali sana usimba na uyanga umefanya tumekuwa mazuzu tunasahau mambo ya msingi
Wapalestina nyumba zao zimegeuzwa vifusi ila huonyeshwa wakicheza mpira. Hata wakati wa ukoloni michezo ilikuwwpo,kila kitu na sehemu yake
 
Kwani toka msimu unaanza malengo ya timu ulikuwa unayajua?
SimbaSC
NguvuMoja
#UbayaUbwela
#HiiTunabebaaa
 
Back
Top Bottom