Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,944
- 177,160
🦁wajikute tuKila la kheri kwa team Tanzania...
🦁wajikute tuKila la kheri kwa team Tanzania...
hahahahaha ,hahahahahaHiyo avator na mawazo yako ni vitu viwili tofauti mkuu.
Mara nyingi umekuwa na Michango ya Kijinga isiyo na Maana hapa JF.
Leo umegeuka Mungu.
Sheck yahaya
Au mtabiri Tambitambi???????
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa Mwili.
HahahahahaSawa mtani....malengo yetu tulishayatimiza kombe likija ni kama suprise tuu...mkumbuke hilo
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Kutokana na kiwango kisichoridhisha cha hii timu ni dhahiri msimu huu hii timu haiwezi kuwa bingwa kwenye mashindano yoyote inayoshiriki. Kuna uwezekano mkubwa Yanga akatetea makombe ya Crdb confederation na cha ligi ya Nbc. Kombe la shirikisho Afrika wote tunajua kilichobaki ni kukamilisha ratiba tu, Berkane wameshalibeba.
Shemejiiii yanga bingwa.Watu wakistuka tu usingizi na stress zao wanajiandikia tuu
SAWAHiyo avator na mawazo yako ni vitu viwili tofauti mkuu.
Mara nyingi umekuwa na Michango ya Kijinga isiyo na Maana hapa JF.
Leo umegeuka Mungu.
Sheck yahaya
Au mtabiri Tambitambi???????
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa Mwili.
Au siyo😂😂Watu wakistuka tu usingizi na stress zao wanajiandikia tuu
Ni kweli treble imeenda msimbaziZa ndani..
Simba 3-0 Berkane
Aggregate 3-2
Treble inaenda Msimbazi.
Vipi bado una maneno mengine ya dhihaka na kejeli kwa mleta uzi? Msimu mwingine tena mliyotoka patupu bila taji lolote lile.Hiyo avator na mawazo yako ni vitu viwili tofauti mkuu.
Mara nyingi umekuwa na Michango ya Kijinga isiyo na Maana hapa JF.
Leo umegeuka Mungu.
Sheck yahaya
Au mtabiri Tambitambi???????
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa Mwili.
Mkuu vipi unasimama na msimamo huu bado?Hiyo avator na mawazo yako ni vitu viwili tofauti mkuu.
Mara nyingi umekuwa na Michango ya Kijinga isiyo na Maana hapa JF.
Leo umegeuka Mungu.
Sheck yahaya
Au mtabiri Tambitambi???????
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa Mwili.
Dah ametabili kweli au uongo sasa?Hiyo avator na mawazo yako ni vitu viwili tofauti mkuu.
Mara nyingi umekuwa na Michango ya Kijinga isiyo na Maana hapa JF.
Leo umegeuka Mungu.
Sheck yahaya
Au mtabiri Tambitambi???????
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa Mwili.