Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,731
- 14,269
Simba Bingwa CAFCC
Kijana, umeambiwa umtafutie kibabu kingine baada ya mimi kupigwa chini. Kwa huo umri wako, utakuja ubemendwe. Shauri yako.ANZISHA uzi haraka unitambulishe kwa ndugu,jamaa,marafiki na wageni waarikwa wa hapa jf
Sawa,nimeingia fainal mara nyingi hapo ndio panapoonyesha ubora wangu.Udhaifu unapimwa kwa yaliyokwishatokea. Mmefungwa mara nne mfululizo, na hapo ndo panapoonyesha udhaifu wenu
Nitambemenda badala ya kunibemenda,umri wangu ni miaka 77 kwa Sasa,nimekwepa mishare mingi🏹🏹Kijana, umeambiwa umtafutie kibabu kingine baada ya mimi kupigwa chini. Kwa umri, utakuja ubemendwe. Shauri yako.
Miaka hiyo wakati nasoma education pale mlimani nilijifunza kitu kinaitwa TABULA RASA, tabula rasa ni jitu lisilokuwa na akili kabisa, In short ni kama halina ubongo kabisa... mfano ni kama hili hapa unalo deal nalo hapa mkuuEmpty beaker
Wewe kiboko, utabiri huu najua unaenda kutimia hata 25. Hongera Mkuu.Imeisha hiyo
Ni kweli isiyopingika hakika berkane kafungwa vibayaBerkane hana mchezo wa kuifunga simba wewe.
#Hii TunabebaMjomba unapita mule mule
Labda mbebe mimba!#Hii Tunabeba