SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,181
- 9,796
Soon kitambo kidogo utaanzisha thread kihusu Ligi ya Morocco ilivyoshuka kiwango mpaka timu za Wydad na Raja kupitwa na timu dhaifu kama BerkaneBerkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno
Kama shairi vile..Mpanzu hawezi kuja simba ni wa ulaya
Mpanzu kafeli ulaya anarudi zake timu yake
Mapanzu garasha ndio maana kaja simba
Hatuchezi ,hatuchezi ,hatuchezi hatuchezi.
Mpanzi kaja kwa mkopo simba , yanga wameshamalizana nae juu kwa juu
Hatuchezi hatuchezi hatuchezi hatuchezi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno
Simba hajapata mechi ngumu. Mechi ngumu ndo hii ya final
Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1. Atafungwa mechi zote na magoli mengi.
Kikosi cha Simba ni dhaifu mno, Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane. Simba haiwezi kupishana na RS Berkane.
Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane
Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
Ila wewe binti siyo bure dishi linayumba . Mumeo ana Kazi kubwa kama uwezo wako wa kufikiri ndiyo huu.Naandika mambo ku share na wadau
Lakini Kamwe huwa Sina muda na mashindano ya shirikisho
Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno
Simba hajapata mechi ngumu. Mechi ngumu ndo hii ya final
Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1. Atafungwa mechi zote na magoli mengi.
Kikosi cha Simba ni dhaifu mno, Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane. Simba haiwezi kupishana na RS Berkane.
Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane
Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
Mpanzu hawezi kuja simba ni wa ulaya
Mpanzu kafeli ulaya anarudi zake timu yake
Mapanzu garasha ndio maana kaja simba
Hatuchezi ,hatuchezi ,hatuchezi hatuchezi.
Mpanzi kaja kwa mkopo simba , yanga wameshamalizana nae juu kwa juu
Hatuchezi hatuchezi hatuchezi hatuchezi
Umekataa kuokena mimi siwezi chart na majini hatakama tunataniana hapa ila lazima tufahamiane na simba hatutafungwa mchawi weweKwa hali hii bora tu Simba ifungwe nje ndani na RS Berkane. Yaani unanipiga kibuti hadharani! Hii ndiyo mara ya kwanza kwenye maisha yangu. 😩
Mume ni robot ungekubali anajibu kama google automatic haifai bwana lazima aonekane mganga yeye sio mimi hainiusu
Udhaifu unapimwa kwa yaliyokwishatokea. Mmefungwa mara nne mfululizo, na hapo ndo panapoonyesha udhaifu wenuSimba dhaifu,huku mnakuja kusema hatuchezi
MWARABU ANA RUNGU.... KAKUTANA NA KASONGOBerkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno
Simba hajapata mechi ngumu. Mechi ngumu ndo hii ya final
Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1. Atafungwa mechi zote na magoli mengi.
Kikosi cha Simba ni dhaifu mno, Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane. Simba haiwezi kupishana na RS Berkane.
Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane
Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
Mchawi humu ni Mshana Jr kolo mwenzioUmekataa kuokena mimi siwezi chart na majini hatakama tunataniana hapa ila lazima tufahamiane na simba hatutafungwa mchawi wewe