Hapana , Mechi na wale wa South ilikua ngumu kwa Simba ila tukiacha kuangalia mambo kwa mihemko na ushabiki huwezi kuona ugumu wake.
Wale wa South walitolewa na Marefa, walistahili kupata matokeo mechi zote mbili, walipambana uwanjani na walistahili kupata kitu ila dhulma ili waondoa mashindano ni.
Kwasasa Simba wapo vizuri nje ya uwanja ila uwanjani wanazidiwa mbali ata na Azam na Singida.
Tofauti iliyopo ni mipango nje ya uwanja, ata apa kwenye Ligi, Simba Kuna alama zisizo pungua 8/9 wamezipata kwa nguvu ya nje ya uwanja ila uwanjani ilisha shindikana.