Simba atafungwa mechi zote final ya shirikisho CAFCC

Simba atafungwa mechi zote final ya shirikisho CAFCC

Tuweke recod sawa
 

Attachments

  • Screenshot_20250518_005148_Sofascore.jpg
    Screenshot_20250518_005148_Sofascore.jpg
    131.7 KB · Views: 17
Hapana , Mechi na wale wa South ilikua ngumu kwa Simba ila tukiacha kuangalia mambo kwa mihemko na ushabiki huwezi kuona ugumu wake.

Wale wa South walitolewa na Marefa, walistahili kupata matokeo mechi zote mbili, walipambana uwanjani na walistahili kupata kitu ila dhulma ili waondoa mashindano ni.
Kwasasa Simba wapo vizuri nje ya uwanja ila uwanjani wanazidiwa mbali ata na Azam na Singida.
Tofauti iliyopo ni mipango nje ya uwanja, ata apa kwenye Ligi, Simba Kuna alama zisizo pungua 8/9 wamezipata kwa nguvu ya nje ya uwanja ila uwanjani ilisha shindikana.
Ukubwa wa timu topolonwewe.
 
Duuh mpaka on target umepatia.

Ni kweli timu namba 4 kwa ubora afrika limeshindwa kupata hata on target moja dhidi ya timu namba 9 kwa ubora afrika.
Kuna timu haikupata hata shot in goal.
 
Back
Top Bottom