Simama uhesabiwe (New episode)

Simama uhesabiwe (New episode)

Na hawa ndio wachambuzi wa gazeti la mwananchi, Aibu Tupu
Kama ni mchambuzi wa Mwananchi Basi hilo gazeti linasadifu tabia za wachambuzi wake. Maana nalo limekuwa la udaku sana
 
ArushaOne amebadili ID na anasakwa sana. Hivi karibuni ataanikwa na yeye.

Baada ya huyu, tunaanza kumwanika yeye. Jamaa yangu BAK mbishi kama ruba. Pamoja na kumwanika anaona yeye hateteleki na msimamo wake.
Vitakuja kusema haya maandiko yamegeuzwa. Vipi vingine vi Salary Slip, BAK...yule ArushaOne yeye amepotea kabisa
 
Nani tena kafukua huu uzi wa Enzi za EDO watu wakienda kumuomba agombee urais!!!
 
Nafikiri tamthilia hii itakapokamilika, kama mwandishi alivyoahidi, iatweza kuingizwa kwenye mtaala wa masomo kwa ajili ya literature.
Sikujua kama bado kuna waandishi wa kiwango hiki hapa Tanzania kwa nyakati hizi mbali na Msiba na yule aliyeandika KIU (anaitwa nani vile?) kwani wasomi wote wamekimbilia kwenye siasa na vipato vya hila!
Wasomi waliobaki (kama wapo), jitokezeni na kuandika vitabu kwa ajili ya mitaala ya masomo kwa watoto wetu kwani uandishi nao ni ujasiriamali (sio lazima siasa)!
 
ArushaOne amebadili ID na anasakwa sana. Hivi karibuni ataanikwa na yeye.

Baada ya huyu, tunaanza kumwanika yeye. Jamaa yangu BAK mbishi kama ruba. Pamoja na kumwanika anaona yeye hateteleki na msimamo wake.
Huyo BAK ameshakula vya Lowassa. Hana aibu kabisa
 
Unataka kujua kesho nani wataenda kuhesabiwa? Usikose kuungana nasi hapo kesho kwa sehemu nyingine ya movie hii ya kusisimua, "SIMAMA UHESABIWE". !

Wasalaam,
Malisa GJ.!
Mkuu, kesho yake kilihesabiwa chama chote cha CHADEMA (pamoja na wewe) kwa bei ya bilioni ngapi sijui! Na huo ndio ukawa mwisho wa movie.
 
hii ni zaidi vuta nikuvute.. aibu kabisa... kula matapishi..mmh hakuna namna kwenye hili sindano inawaingia naiwapoteza sana dira chadema.... reform yakueleweka inahitaji vinginevyo na aina ya utawala tulionao kwa sasa... mbele giza... viongozi wenye maono mapya wanahitajika...chamani....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom