Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
naomba kufahamishwa kuhusu laini zinazotumika kwa simu zetu hizi je ni card kubwa au micro soft (micr card) . hivo nilivoandika ndio nilivyoulizwa unaweza kurekebisha kama imekosewa. Nina ndugu yangu anataka kunitumia simu toka itali ndio ameniuliza hivyo.