Silly question...

Kwanza there is no silly question, just silly answers.
Mi nilialikwa na mpenzi wangu kwake, nikawahi kufika. nikaanza kunywa wine aliandaa (red) as anaendelea kupika. tulivo fika juu ya meza I was too drunk kuelewa kinacho endelea so akaamua anirudishe home. ila kesho yake aliamkia saa 11, akaingia hadi chumbani. nilishtuka sana nikadhani kuna shida. akakaa next to me (na mimi nilikua nimesha kaa) alafu akanambia alikua na neno la kusema toka jana ila aliona nilikua sina hali ya kuelewa vizuri.
then akasema anahisi I bring a new dimention to his life na anapenda the way I look when I wake up na maneno mengine mengi ya uongo na ya kweli. Kwa vile tulikua tunatoka katika mzozano wa nguvu nikajua tu ataishia kusema "but I think we should break up" so nikaanza kusema : hata mimi nahisi hivo na please give us another change to make it right.
hapo ndipo alipiga goti, akanishika mkono wa left na akasema: XXX, would you stay with me forever? as my wife?
Haki nikalia straight. It was such a relieve!!! mengine nitakwambia kesho. hapa nakumbuka I feel all emotional again...

Waoooooo
so romantic...

hahahah hapo ulipolewa nimecheka lohhhh

dahhhh hiyo tamu sana mi slali leo mpaka umalizie story..
ntasubiri mpaka kesho.. Tamu sana .. hongera tena kwa kweli..
 
Kwanza there is no silly question, just silly answers.
Mi nilialikwa na mpenzi wangu kwake, nikawahi kufika. nikaanza kunywa wine aliandaa (red) as anaendelea kupika. tulivo fika juu ya meza I was too drunk kuelewa kinacho endelea so akaamua anirudishe home. ila kesho yake aliamkia saa 11, akaingia hadi chumbani. nilishtuka sana nikadhani kuna shida. akakaa next to me (na mimi nilikua nimesha kaa) alafu akanambia alikua na neno la kusema toka jana ila aliona nilikua sina hali ya kuelewa vizuri.
then akasema anahisi I bring a new dimention to his life na anapenda the way I look when I wake up na maneno mengine mengi ya uongo na ya kweli. Kwa vile tulikua tunatoka katika mzozano wa nguvu nikajua tu ataishia kusema "but I think we should break up" so nikaanza kusema : hata mimi nahisi hivo na please give us another change to make it right.
hapo ndipo alipiga goti, akanishika mkono wa left na akasema: XXX, would you stay with me forever? as my wife?
Haki nikalia straight. It was such a relieve!!! mengine nitakwambia kesho. hapa nakumbuka I feel all emotional again...
Nimeipenda Sana hii
 
hahaha Sie huo uzungu hatujapitia bana! lol

si uzungu bana ..

Bibie kuna ka hidden ajenda kwenye hii thread?

hamna lolote ... Best yangu ilimtokea jana ... nkaona niulize maana yake ilikuwa kichekesho kwa kweli..
( lakini raha kupita kiasi walivyotupa story, wanapendana sana ila jamaa alikuwa anatetemeka, jacho, chozi looohhh)
 
si uzungu bana ..



hamna lolote ... Best yangu ilimtokea jana ... nkaona niulize maana yake ilikuwa kichekesho kwa kweli..
( lakini raha kupita kiasi walivyotupa story, wanapendana sana ila jamaa alikuwa anatetemeka, jacho, chozi looohhh)
Hebu mshawishi Kimey atuambie basi mimi nimejaribu kagoma kabisa labda wewe atakubali lol
 
dahhhh
nidokezee ya kwako kidoncho basi....
yaelekea unayaelewa sana.. ( si lazima kama hujisikii lakini)

Yaani AD nilichoeleza hapo juu was just my part
It was out of nothing niliaandaa kiparty bila yeye kujua somewhere out of our usual place
Nikawaambia washkaji zangu na ndugu wale wa karibu kuwa i want to engage my girl ambaye wote walikuwa wanamjua
Before nilikuwa nishamfanyia suprise nyingine maana nilimnunulia nguo moja nzuri sana aliyokuwa anaipenda na anaitamani kwa mjuda mrefu
Ni nguo ya outing za usiku so nikamuomba that day kuwa nitaomba nitoke naye akiwa amevalia that dress i bought for hre twende dinner mahali
She accepted and we drive to that place and out of blue a table was prepared for us na it was just two of us as per arrangement. Baada ya kama nusu saa tukiwa tunapata wine walianza kuja marafiki mmoja baada ya mwingine then my ndugu then the place (was just in a special place in a hotel ) full and walianza kupata kinywaji wakati wanasubiri na story zikiwa zinaendelea
Kwake ilikuwa suprise akauliza what is going on nikamwambia i don know maana niliaarange hii just me and u ila nashangaa watu wametoka wapi
Bado akiwa kwenye mshangao nilitoka kwenye kiti nilichokuwa nimekaa nikapiga goti langu na in her suprise i ask her to marry me
After a long breath and quiteness of the place and every one looking at her alitoa chozi (sijui la furaha au mshangao) then she said YES and alinishika mkono kuninyanyua pale chini and lile furushi la maua lililoandaliwa lililetwa kwake
You know what happen next was hug and kissing and wow ........ so nice one nikikumbuka

That is my story AD
 
Kwa wale walio olewa au ku engaged ..

Na kwa wale ambao bado mnafikiria kuhusu hiyo siku??

Na kwa wanaume ni nini ulikuwa unawaza ??wakati umeshika
hiyo pete unamwangalia machoni ...

pale yule umependae, akupendae
alipo piga goti ( au njia yeyote ile) na kukuuliza
" Will you marry me"??
what was your reaction??..

ulikimbia, lia, simama, pigwa na butwaa au ulifanya nini tu??

Karibuni AD

mimi bado,...ila nafikiri ni bora mtu anayelia maake watu wanavyo lalamikia ndoa zao humu jamvini ni balaa mara ni muda gani wa kurudi nyumbani,mara kafanya nini,...mmmh sijui,...ni bora kuwa single and available
 
Yaani AD nilichoeleza hapo juu was just my part
It was out of nothing niliaandaa kiparty bila yeye kujua somewhere out of our usual place
Nikawaambia washkaji zangu na ndugu wale wa karibu kuwa i want to engage my girl ambaye wote walikuwa wanamjua
Before nilikuwa nishamfanyia suprise nyingine maana nilimnunulia nguo moja nzuri sana aliyokuwa anaipenda na anaitamani kwa mjuda mrefu
Ni nguo ya outing za usiku so nikamuomba that day kuwa nitaomba nitoke naye akiwa amevalia that dress i bought for hre twende dinner mahali
She accepted and we drive to that place and out of blue a table was prepared for us na it was just two of us as per arrangement. Baada ya kama nusu saa tukiwa tunapata wine walianza kuja marafiki mmoja baada ya mwingine then my ndugu then the place (was just in a special place in a hotel ) full and walianza kupata kinywaji wakati wanasubiri na story zikiwa zinaendelea
Kwake ilikuwa suprise akauliza what is going on nikamwambia i don know maana niliaarange hii just me and u ila nashangaa watu wametoka wapi
Bado akiwa kwenye mshangao nilitoka kwenye kiti nilichokuwa nimekaa nikapiga goti langu na in her suprise i ask her to marry me
After a long breath and quiteness of the place and every one looking at her alitoa chozi (sijui la furaha au mshangao) then she said YES and alinishika mkono kuninyanyua pale chini and lile furushi la maua lililoandaliwa lililetwa kwake
You know what happen next was hug and kissing and wow ........ so nice one nikikumbuka

That is my story AD

waooooo
I'm speechless...
Ntarudi kukushukuru tena..

Kuna raha sana duniani kwa kweli..
 
mimi bado,...ila nafikiri ni bora mtu anayelia maake watu wanavyo lalamikia ndoa zao humu jamvini ni balaa mara ni muda gani wa kurudi nyumbani,mara kafanya nini,...mmmh sijui,...ni bora kuwa single and available

sawa uamuzi wako sababu ni maisha yako...

Na kama maisha ya watu hapa Jamvini yanakukatisha tamaa
kwa kwli nakupa pole.. sababu wengine hapa wanafuata mkumbo tu
na wengine wanajaza tu posters ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom