The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 9,170
- 20,202
Dah watu mmezidi chuki sasa matunda tu. Wagalatia bana.Kwaanzia leo sili tena nyama za buchani. Sitaki kushiriki ibada za kipagani na kishirikina.
Hata matunda ya Mudi tende naepuka sana hata kuonja.
Kabla ya kunywa hata maji ya chupa nakagua kwa umakini kama ni ya zamzam. Nikijiridhisha siyo ndo nakunywa.
Kama muumini wa Mungu wa kweli sitaki najsi kwenye mwili wangu na imani yangu nimedhamiria kwenda mbinguni.
Kwaiyo sitashiriki nakujihusisha na ibada za kipagani.
Nyau de adriz
Mods mko wapi muondoe hii takataka.Kwaanzia leo sili tena nyama za buchani. Sitaki kushiriki ibada za kipagani na kishirikina.
Hata matunda ya Mudi tende naepuka sana hata kuonja.
Kabla ya kunywa hata maji ya chupa nakagua kwa umakini kama ni ya zamzam. Nikijiridhisha siyo ndo nakunywa.
Kama muumini wa Mungu wa kweli sitaki najsi kwenye mwili wangu na imani yangu nimedhamiria kwenda mbinguni.
Kwaiyo sitashiriki nakujihusisha na ibada za kipagani.
Nyau de adriz
Mkuu punguza mihemko ya chuki. Tende mbona fresh tu hata sasa hivi nimetoka kula. Nyama sitaacha kula na huwezi kupata popote ila buchani labda ule ambazo umejichinjia.Kwaanzia leo sili tena nyama za buchani. Sitaki kushiriki ibada za kipagani na kishirikina.
Hata matunda ya Mudi tende naepuka sana hata kuonja.
Kabla ya kunywa hata maji ya chupa nakagua kwa umakini kama ni ya zamzam. Nikijiridhisha siyo ndo nakunywa.
Kama muumini wa Mungu wa kweli sitaki najsi kwenye mwili wangu na imani yangu nimedhamiria kwenda mbinguni.
Kwaiyo sitashiriki nakujihusisha na ibada za kipagani.
Nyau de adriz
Safi sana tunataka watu wenye msimamo kama wako nenda ukale figiri mpaka mavi yawe yakijani
Hahahahaπ
Kwaanzia leo sili tena nyama za buchani. Sitaki kushiriki ibada za kipagani na kishirikina.
Hata matunda ya Mudi tende naepuka sana hata kuonja.
Kabla ya kunywa hata maji ya chupa nakagua kwa umakini kama ni ya zamzam. Nikijiridhisha siyo ndo nakunywa.
Kama muumini wa Mungu wa kweli sitaki najsi kwenye mwili wangu na imani yangu nimedhamiria kwenda mbinguni.
Kwaiyo sitashiriki nakujihusisha na ibada za kipagani.
Nyau de adriz
Dah watu mmezidi chuki sasa matunda tu. Wagalatia bana.
Mkuu punguza mihemko ya chuki. Tende mbona fresh tu hata sasa hivi nimetoka kula. Nyama sitaacha kula na huwezi kupata popote ila buchani labda ule ambazo umejichinjia.
Mpaka hii winter iishe utaokota makopo πππMods mko wapi muondoe hii takataka.
Kwa hiyo mkuu unasema upanga wa Mungu haukwepeki kabisa πVyote vilivyoko chini ya anga ni vya mkuu wa anga.. Huna pa kukimbilia
Akikukosa kushoto atakupata kulia
Akikukosa juu atakupata chini