Kuna jamaa alikua anafukuzwa na nyuki,akakumbuka njia nzuri ya kuwakwepa nyuki ni kulala chini,basi akalala chini lakini wale nyuki wakawa wametanda juu yake bila kuondoka kwa muda mrefu.
Jamaa akafikiria afanyeje ili nyuki waondoke,wazo likamjia akaanza kupumua kwa nyuma(kujamba)
Kufumba na kufumbua hakuna nyuki hata mmoja aliyebaki.
Jamaa alikua mbunifu kwenye kutumia silaha za jadi
Jamaa akafikiria afanyeje ili nyuki waondoke,wazo likamjia akaanza kupumua kwa nyuma(kujamba)
Kufumba na kufumbua hakuna nyuki hata mmoja aliyebaki.
Jamaa alikua mbunifu kwenye kutumia silaha za jadi