Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
Hapana ndugu yangu lile eneo halifiki km 5.. Unajua Picha ya ndege mpaka maili moja ni km ngapi?Eneo lina kama 5km Kwa 4km ebu niambie ni sq mita ngapi hapo
Hapana ndugu yangu lile eneo halifiki km 5.. Unajua Picha ya ndege mpaka maili moja ni km ngapi?Eneo lina kama 5km Kwa 4km ebu niambie ni sq mita ngapi hapo
Nawewe unakosea kudhania lile eneo la pitch katikati ya uwanja ni kubwa sana. Lile halizidi 160×120 sqm ukijumlisha na running tracks. Sasa katafute ule uwanja wote una sqm ngapi? Yale majukwaa yamejengwa kiufundi sana zile steps hivyo kupata eneo kubwa sana la kuketi watu. Bongo hakuna kanisa la watu milioni moja na wala hakuna kongamano wala makutano ya kidini linalifikia watu milioni moja ambalo liliwahi kufanyika au kutanisha watu kwa wakati mmoja sehemu moja. Nenda kawaongopee kondoo wenzio wanaovunwa sufu na nyama kwa huyo mchungaji wenu.Akili yako ni ya kulia na kuvaa, hivi hao watu 60 wanakaa hadi katikati ya uwanja? Lile kanisa ni kubwa taifa ndogo
Kanisa kubeba watu million moja??? Hahahahaaah
Mkuu, 4km x 5km = 20sq.km ambazo ni sawa na 20,000sq.m, au nimesahau basic arithmetic...dah!!Eneo lina kama 5km Kwa 4km ebu niambie ni sq mita ngapi hapo
Mkuu unajua Kusoma Ila Sio Mwelewa kaandika IPO KIBAHA kwa Mathias 7km from KIBAHA mjini...nmeona umejtahd kufafanua vzuri, ila hujasema eneo hilo lipo wap hapa nchin
Ni kweli ndugu,Kanisa la watu millioni moja ni uongo. Just imagine uwanja wa Taifa watu 60,000
Sio uongo, nenda kajioneeKanisa la watu millioni moja ni uongo. Just imagine uwanja wa Taifa watu 60,000
Kibaha kwa Mathias ni njia ya kuelekea Open University.nmeona umejtahd kufafanua vzuri, ila hujasema eneo hilo lipo wap hapa nchin
Ni kweli kabisa,Hakuna na wala hatakuja kutokea mtume mwingineMwizi mkubwa wap ela za wasiojielewa huyooo hakuna nabii baada ya mtume Muhammad (sw).....
Kibaha ndo makao makuu ya Efatha mkuu.Ni huko kibaha kwa mathias, upande wa kushoto unapotokea dar- 7km kuelekea kijiji kilipo ,Maelfu Kwa maelfu ya watu idadi (inakadiliwa ni kama Mara mbili au tatu ya ujazo Wa watu ambao huingia katika maonyesho ya siku yasabasaba) wamehudhuria kusanyiko katika kijiji kinachomilikiwa na mtume na nabii mwingila.
Nimefanikiwa kufika eneo hilo watu ni wengi sana na eneo ni kubwa sana takribani square mita 2,000,000sq na zaidi maarufu kama kijiji cha mwingila,
Huduma zilizomo ni Umeme, maji, network, bank hospital na sasa wanatarajia kuweka na hoter za kifahari,
Mkusanyiko huo umeleta watu kutoka kila mkoa na wengine kutoka nje ya nchi ambao kila kundi la watu wana mtaa wao Wa makusanyiko.
Mwenyeji mmoja kasema mkusanyiko huo hufanyika kila mwaka Kwa siku saba Kwa ajili ya waumini wake kupokea uponyaji,
Kushiriki mkutano huo, kila muumini huchangia Pesa Kwa ajili ya maradhi na Chakula,
Jumba ambapo mtume hupumzika hapatakiwi watu kukatiza ovyo.
Picha ya hapo chini ni kanisa lililopo huko lenye kubeba watu zaidi ya million moja
View attachment 605244
Mkuu piga mahesabu Efatha kuna makanisa mangapi Tanzania ??sasa kila mwaka huwa kunasherehe waumini wote Tanzania wanakutana pale kibaha .pale kibaha ndo makao makuu.fika sikumoja uone palivo .mm nimefika sana kuna tenda fslan huwa nafanya nabank yanke .watu 1M hzo ni ndoto tena za kiuwendawazimu ,huenda hadi unakufa hautakuja kushuhudia kusanyiko la hata nusu hyo uliyoitaja
Ni kweli kabisa,Hakuna na wala hatakuja kutokea mtume mwingine
Jiongeze wewe,ukaaji wa kanisani ni tofauti na ukaaji wa uwanjani by the wa kanisa halina playing field like a football ground,akili zenu zimekuwa km za jerry muro....ila mwingira ni mchungaji tapeli na muhuni...Kanisa la watu millioni moja ni uongo. Just imagine uwanja wa Taifa watu 60,000