Nyanjilinji
Senior Member
- Oct 23, 2016
- 147
- 137
Janga kubwa Sana mkuu! Janga kubwa lingine linalokuja ni matumizi ya herufi 'H' utakuta mtu anaandika Hembe badala ya Embe. Halienda badala ya alienda.Ni shida Sana...Katika uandishi herufi L na R imekuwa janga la kitaifa sasa