"Sikushinikizwa kumpeleka mwanangu uwanjani"- Baba mzazi wa Ismail

Unajua tusishabikie mambo bila kujua kwa sheria za kiislam hairuhusiwi mtu kuagwa, Pia maiti ikifa izikwe haraka, haya ndo mambo ya kuzingatia ila kwa nyie cdm mnaona ushindi kwa wanafamilia wamemtesa maiti wao na wamepata Laana kwa Mungu maana asipozikwa musilam kwa mafundisho MwenyeziMungu hushusha laana kwa waislam wa mji wote. Ndo maana kina sheikh shaabani kuogopa hilo walimfuata mzee naye alikataa kuogopa chadema kwa maneno yake

Hatuingilii mafundisho ya dini, cha msingi ni kwamba Mzazi wa marehemu hakushinikizwa na mtu yeyote wala CHADEMA kuupeleka mwili wa mwanawe uwanja wa NMC. Kama ametenda vema au vibaya kadiri ya imani yake, tumwachie mwenyezi Mungu ndiye mwenye haki ya kumhukumu. Tusijifanye kuwa sisi ni watu wenye haki sana mbele za Mungu, maana hekima ya Mungu siyo hekima ya mwanadamu. Sisi sote tulihuzunika kusikia kuwa CHADEMA ililazimisha mwili wa marehemu kupelekwa uwanjani, maana tunajua CHADEMA inaheshimu sana imani za watu. Tumefarijika kuwa mzazi wa marehemu, pamoja na kujua mahitaji ya imani yake, aliupeleka mwili wa mwanawe uwanjani kwa hiari yake na siyo kulazimishwa na CHADEMA kama ambavyo CCM/Serikali walivyotaka kutudanganya.
 
ndo maana wewe huna mwongozo wakristo hamjaelekezwa namna ya kuzika ndo maana mnatumia Common sense huwezi kutumia common sense kwenye mambo ambayo yako define tayari.
Common sense yako ya Mtoa kamasi itafika wapi?

Bible says "mtwange mpumbavu katika kinu, hutafanikiwa kumtenganisha na upumbavu wake."
Hiyo common sense ya kuzika maiti harakaharaka ili kutokumtesa mmeanza kuipata baada ya kifo cha Ismail?? wakati Dr.Omary Alli Juma anafariki common sense ilikuwa wapi?? Mbona maiti yake muluutesa? Je, maiti za kina sheikh Gorogosi, mzee Kawawa mbona zilicheleweshwa kuzikwa?? common sense yenu ilikuwa imeenda likizo au??
 
Hatuingilii mafundisho ya dini, cha msingi ni kwamba Mzazi wa marehemu hakushinikizwa na mtu yeyote wala CHADEMA kuupeleka mwili wa mwanawe uwanja wa NMC. Kama ametenda vema au vibaya kadiri ya imani yake, tumwachie mwenyezi Mungu ndiye mwenye haki ya kumhukumu. Tusijifanye kuwa sisi ni watu wenye haki sana mbele za Mungu, maana hekima ya Mungu siyo hekima ya mwanadamu. Sisi sote tulihuzunika kusikia kuwa CHADEMA ililazimisha mwili wa marehemu kupelekwa uwanjani, maana tunajua CHADEMA inaheshimu sana imani za watu. Tumefarijika kuwa mzazi wa marehemu, pamoja na kujua mahitaji ya imani yake, aliupeleka mwili wa mwanawe uwanjani kwa hiari yake na siyo kulazimishwa na CHADEMA kama ambavyo CCM/Serikali walivyotaka kutudanganya.

NASHUKURU MKUU, Umetoa ufafanuzi wa kina wenye hoja yakinifu na uliojaa busara. Hongera kaka, endelea kuwaelimisha wote wanaotaka kukwepa hoja ya msingi kwa maslahi binafsi.
 
Wanachadema wale wanasheria wawasaidie hii familia kufungua kesi ya DEFAMATORY dhidi ya magazeti yalioandika uwongo dhidi yao
 
Baba mzazi wa kijana Ismail aliyepigwa risasi na kuuawa na polisi huko Arusha, katika mapambano kati ya Jeshi la polisi na wafuasi wa CHADEMA amesema kuwa hakukuwa na shinikizo lolote kupeleka mwili wa mwanae viwanja vya NMC kwa ajili ya ibada ya kumuaga.

Mzazi huyo amesema uamuzi wa kupeleka mwili huo viwanjani NMC ulikuwa ni uamuzi wa familia na hakukuwa na shinikizo lolote kutoka nje ya familia kama ilivyodaiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo awali.

"Yalikuwa ni maamuzi ya familia kuwa mwili wa Ismail upelekwe viwanjani kuagwa na hakukuwa na shinikizo lolote kama inavyodaiwa." alisema mzazi huyo na kuongeza
"Tuliamua kufanya hivyo ili kuuonesha ulimwengu ukiukwaji haki uliyofanywa na jeshh la polisi"

Taarifa hii inakuja siku chacie baada ya kuenea uvumi kuwa wazazi wa Ismail walishinikizwa kupeleka mwili wa marehemu viwanja vya NMC kwa ajili ya ibada ya mazishi.

Uvumi huo ulizidi kupaizwa na vyombo vya habari, na kukihusisha chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusika kuishinikiza familia kuileta maiti ya Ismail uwanjani NMC.

Kwa maana hiyo taarifa ya mzazi wa Ismail inakisafisha chama cha CHADEMA kutokana na kupakaziwa na kuchafuliwa na taarifa za uvumi zilizotolewa awali.

Vilevile taarifa hii inaonesha wazi namna baadhi ya watu wenye nia mbaya wanavyopika habari na kuzivumisha, huku wakichafua wengine kwa alili ya maslahi yao wenyewe.

Pongezi kwa mzazi wa Ismail aliyeamua kueleza ukweli. Pongezi CHADEMA kwa kuruka kiunzi cha kutaka kuchafuliwa kwenye kazi njema mliyoianza.

SOURCE:Radio One.

Duh! Hii kali! Kumbe walichakachua (CCM Oyeeeee!).
Hongera Mzazi wa Ismail kwa kusimamia kweli.
 
Hakuna mzazi anayefurahia mwanaye kufa. Na huo ndio kuzikwa kwa ccm. Uongo hautawasaidia tena. Nimesikia hata watu wazima wana ccm wanalaani mauaji hayo nikajua Kikwete kafikwa. Nani alikwambia risasi inajua wewe ni chama gani? kudadadeki
 
Unajua tusishabikie mambo bila kujua kwa sheria za kiislam hairuhusiwi mtu kuagwa, Pia maiti ikifa izikwe haraka, haya ndo mambo ya kuzingatia ila kwa nyie cdm mnaona ushindi kwa wanafamilia wamemtesa maiti wao na wamepata Laana kwa Mungu maana asipozikwa musilam kwa mafundisho MwenyeziMungu hushusha laana kwa waislam wa mji wote. Ndo maana kina sheikh shaabani kuogopa hilo walimfuata mzee naye alikataa kuogopa chadema kwa maneno yake

Kwa Hiyo Waislam Wote wa Dar Es Salaam Wamelaaniwa ( Maana tulimuaga Kawawa hapa Dar)? Na Waislam wa Zanzibar Wamelaaniwa ( Maana Dr. Omar tuliaga Zenj)
 
Kwa Hiyo Waislam Wote wa Dar Es Salaam Wamelaaniwa ( Maana tulimuaga Kawawa hapa Dar)? Na Waislam wa Zanzibar Wamelaaniwa ( Maana Dr. Omar tuliaga Zenj)

Mkuu,
huyo amechanganyikiwa just leave her. Hajui hata anachoongea coz angekuwa anajua angeshapima na kujua ni pumba maana kama ni laana basi kuna baadhi ya miji imelaaniwa yote just like Dar simply because walimuaga mzee Kawawa. Ana akili za kuazima huyu.
 
Back
Top Bottom