Sikupanga kuwa na mtoto...

MJ1...MKWE pale juu ..

Kwasababu tu mtu anamzaa mtoto kwa kulazimika (kwasababu yoyote ile) haina maana kwamba hajapanga kuwa nae.Tofauti na yule ambae anaamua kubaki nae tangu mwanzo ni kwamba huyu wa kulazimika anakua HAJAKUBALIKA...HATAKIKANI...HAHITAJIKI ila amepangwa.

Kitendo cha mtu kubaki na mimba miezi 9 huku akijua kwamba haitayeyuka basi anapanga kua na mtoto even though ni katika mazingira ya kulazimika zaidi.

Na sio wote wanaobeba mimba miezi yote tisa wanakuwa wamepanga mydia: Kuna wale wanaokuwa wanatamani kuitoa but may be wanagundua when it is too late kuitoa (Si nasikia kuna mwisho wa risks); kuna wanaojaribu na kukuta imegoma kutoka ........mtaani kuna usemi kuwa mimba ya mtoto wa kiume huwa ni ngumu sana kutoka; au wengine wanakwambia ukoo wetu hatutoagi mimba na ukiitoa ya kwetu lazimma ikuondoe na wewe au inagoma. Sasa huyu analazimika kuzaa kwa kuwa alijaribu kluitoa ikashindikana! au mie nachanganya madawa?
 
Ni kweli kabisa mimba ambayo hamkuipanga inaumiza kisaikolojia (kwa baba na mama), nalejea tena kwa helufi kubwa MIMBA ambayo hamkuipanga, kwa wenzetu kuna vitengo kabisa vya counselling kwa Unplanned pregnancy.

enhee nani ana suala la zaidi?
naelimisha bure bila rushwa.

Kloro turudi kwenye “mtoto ambae hakupangwa“.....
 
Kloro turudi kwenye "mtoto ambae hakupangwa".....

To be honest hii term ya mtoto ambae hakupangwa ndo kwanza naiona leo..... ndio maana nikaona nielezee mimba ambayo haikupangwa.
Labda uifafanue zaidi ili tuende sambamba.
 
Lizzy na tama naomba niwakumbushe lile tendo si kwa ajili ya child production peke yake. Mtu anawezaenda for starehe kikanasa 'bahati mbaya kwa maana ya condom kutoboka, kusahau kumeza a pill, n.k

Na wengine ni kama stress releaser, starehe, e.t.c

MJ1 najua sana hilo mami...ndo maana hua nasema kama kweli mtu hataki kupata ujauzito either asifanye mapenzi ili kuepuka hata zile “bahati mbaya“ na kama akishindwa kabisa kujizuia basi akae akijua kwamba kuna uwezekano akaipata hata kama atakua mwangalifu.Hivyo kitendo cha kuamua kujihusisha kimwili na mtu mwingine tayari anakubali matokeo yake...yakiwa ni starehe..magonjwa pamoja na mimba.

Njia pekee ambayo inampa mtu uhakika wa kutopata mimba ni kutofanya mapenzi....hivyo watu waache kusingizia dawa ya penzi as if hawajui kwamba yaweza kupasuka...au siku zao as if hawajui mwili wake unajiendesha wenyewe na wakati mwingine mabadiliko hutokea!
 
Ashadii nimekusoma ila bado tunatudi palepale kwamba mimba ni mtoto mtarajiwa...na kubeba mimba sio kuzaa.<br />
<br />
Hivyo mtu anapoamua kuilea mimba na kuazaa hata kupata mtoto basi anakua alipanga kuwa na mtoto. Unless huyo mtu hakujua ana mimba miezi yote tisha na kushtukizwa na uchungu basi mtoto atakaezaliwa amepangwa!!<br />
<br />
Mengine yote nakubaliana na wewe...watoto ni zaidi ya zawadi!!
<br />
<br /
Sasa unamshauri nini anayegundua ana mimba tayari wakati hakupanga?
 
MJ1 najua sana hilo mami...ndo maana hua nasema kama kweli mtu hataki kupata ujauzito either asifanye mapenzi ili kuepuka hata zile "bahati mbaya" na kama akishindwa kabisa kujizuia basi akae akijua kwamba kuna uwezekano akaipata hata kama atakua mwangalifu.Hivyo kitendo cha kuamua kujihusisha kimwili na mtu mwingine tayari anakubali matokeo yake...yakiwa ni starehe..magonjwa pamoja na mimba.

Njia pekee ambayo inampa mtu uhakika wa kutopata mimba ni kutofanya mapenzi....hivyo watu waache kusingizia dawa ya penzi as if hawajui kwamba yaweza kupasuka...au siku zao as if hawajui mwili wake unajiendesha wenyewe na wakati mwingine mabadiliko hutokea!
Hapo red kama mtu yupo kwenye ndoa pia utampa ushauri huo?
 
MJ1 najua sana hilo mami...ndo maana hua nasema kama kweli mtu hataki kupata ujauzito either asifanye mapenzi ili kuepuka hata zile "bahati mbaya" na kama akishindwa kabisa kujizuia basi akae akijua kwamba kuna uwezekano akaipata hata kama atakua mwangalifu.Hivyo kitendo cha kuamua kujihusisha kimwili na mtu mwingine tayari anakubali matokeo yake...yakiwa ni starehe..magonjwa pamoja na mimba.

Njia pekee ambayo inampa mtu uhakika wa kutopata mimba ni kutofanya mapenzi....hivyo watu waache kusingizia dawa ya penzi as if hawajui kwamba yaweza kupasuka...au siku zao as if hawajui mwili wake unajiendesha wenyewe na wakati mwingine mabadiliko hutokea!
Duh Lizzy hiyo Red utakuwa unatunyima haki zetu za kustarehe, have fun na tuwapendao ati!! Yaani kwa kuwa sitaki kupata mimba basi nisi'stareh"??!! ingekuwa hivyo si tungekuwa tunakutana wakati wa kutaka kureproduce tu?!!
 
lizzy, naomba unihabarishe kati ya mimba na mtoto kipi hutangulia? katika jibu utakalotoa, imani yangu mimi ni kwamba kile kitakachokuwa cha kwanza ndicho huamua mpango wa kile cha pili, Ila kumbuka pia kupanga ni kuchagua eeeh. Lakini pia watu wanapoamua kuzaa si kwamba wamepanga kwa kuridhika kabisa na hali hiyo , bali wanahofu juu ya maamuzi ya kutoa mimba ambayo huambatana na madhara anuai.
Hi guys!!
Hope wote mko pouwaaa!!

Nwy leo nlikua naongea na rafiki yangu tukawa tunabishana kuhusu jambo...
Ishu yenyewe inahusu watu wanaopata mimba bila kupanga na kuamua kuzaa. Baadhi ya hawa watu utasikia kabisa wakisema kwamba hawakupanga kuwa na mtoto (didn‘t plan to have a baby kwa lugha ya wenzetu) ila ukweli ni kwamba hamna mtoto anaezaliwa bila kupangwa. Yani japokua mimba yaweza kupatikana bila kupanga mtoto yeye anapangwa na ndio maana wapo wanaopata mimba na bado hawawi na watoto.

Pale unapogundua kwamba una mimba na ukaamua kuiacha ili ikue...uzae na kupata mtoto basi unakua umepanga kuwa na mtoto.Huo ndio ukweli na hiyo ndio hali halisi.
Hamna mtoto anaezaliwa kwa bahati mbaya!!
 
Na sio wote wanaobeba mimba miezi yote tisa wanakuwa wamepanga mydia: Kuna wale wanaokuwa wanatamani kuitoa but may be wanagundua when it is too late kuitoa (Si nasikia kuna mwisho wa risks); kuna wanaojaribu na kukuta imegoma kutoka ........mtaani kuna usemi kuwa mimba ya mtoto wa kiume huwa ni ngumu sana kutoka; au wengine wanakwambia ukoo wetu hatutoagi mimba na ukiitoa ya kwetu lazimma ikuondoe na wewe au inagoma. Sasa huyu analazimika kuzaa kwa kuwa alijaribu kuitoa ikashindikana! au mie nachanganya madawa?
Hahahah...wala hujachanganya ...
I guess hapo mtu anakua hajajiandaa wala hataki kuzaa ila bado nashindwa kusema kwamba mtoto wake anakua hakupangwa...though inawezekana kwamba hivyo ndivyo.
 
Sasa unamshauri nini anayegundua ana mimba tayari wakati hakupanga?

Ushauri wangu siku zote utaegemea kwenye kukubali majukumu....tatizo ni kwamba naweza kushauri ila nikawa napoteza muda tu!
 
Duh Lizzy hiyo Red utakuwa unatunyima haki zetu za kustarehe, have fun na tuwapendao ati!! Yaani kwa kuwa sitaki kupata mimba basi nisi'stareh&quot;??!! ingekuwa hivyo si tungekuwa tunakutana wakati wa kutaka kureproduce tu?!!

Hahahaha naona nimewagusa pabaya we na Kloro!!

Nwy nlichokua najaribu kusema ni kwamba ukiamua tu kufanya mapenzi jua kwamba uwezekano wa kupata mimba upo...na kama mimba kwako ni kitu ambacho kinaweza kukupa wakati mgumu sana basi amua kutoipa nafasi hiyo mimba itokee.

Kwahiyo furahini...furahishaneni ila ikitokea mimba msilie na kulalama as if ni muujiza.
 
Ukipenda Boga penda na uwa lake shemeji, ni sehemu ya mapenzi ati!!
hehehe mdosi yeye alisema "kipenda boga subiri mezi ya ramazani, waislam napenda sana"

On a serious note bado sijaelewa hii quote ya mtoto ambae hakupangwa, wallahi sitanii hii ni quote ngeni sana kwangu.
 
lizzy, naomba unihabarishe kati ya mimba na mtoto kipi hutangulia? katika jibu utakalotoa, imani yangu mimi ni kwamba kile kitakachokuwa cha kwanza ndicho huamua mpango wa kile cha pili, Ila kumbuka pia kupanga ni kuchagua eeeh. Lakini pia watu wanapoamua kuzaa si kwamba wamepanga kwa kuridhika kabisa na hali hiyo , bali wanahofu juu ya maamuzi ya kutoa mimba ambayo huambatana na madhara anuai.
Mimba inatangulia.
Ofcourse kinachotangulia kwanza kinahusika kuamua kitakachotokea.Ila sio kila yai linakua kifaranga....na hapa ndo ujue kwamba choice ipo ya kuiruhusu mimba iwe mtoto au la.

Wanaacha kwa woga japo hawataki wanatakiwa wawe wanafikiria hayo yote kabla ya kujiachia na sio baada!
 
On a serious note bado sijaelewa hii quote ya mtoto ambae hakupangwa, wallahi sitanii hii ni quote ngeni sana kwangu.

Kloro bana....
Yani kabisa hujawahi kusikia mtu akisema “ahh sikupanga kua na mtoto mie...ilikua bahati mbaya tu“ ...?!Wapo sana na wengine hua hata wanasema mbele ya hao watoto!
 
Back
Top Bottom