Sikukuu ya mwaka huu Forodhani Zanzibar imepoa sana

Sikukuu ya mwaka huu Forodhani Zanzibar imepoa sana

zachariano alexido

Senior Member
Joined
Mar 10, 2026
Posts
167
Reaction score
416
Mwaka juzi na mwaka Jana, hapakua na pakukanyaga, yani ilikua balaa hupiti mpaka upenyeze ila mwaka HUU HATA sarakasi unapiga VIZURI TU je,

Watu hawana hela au matamko tata ya viongozi wa dini kupishana mitazamo ya siku husika au ndo basi tu

 
Back
Top Bottom