Sikukuu: Natamani kampani kwa ajili ya sikukuu

Sikukuu: Natamani kampani kwa ajili ya sikukuu

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,454
Reaction score
1,569
Natanguliza salamu wana jamvi.

Nimepata bahati mbaya ya kutengana na mpemzi wangu katika siku za hivi karibuni za kukaribia sikukuu za IDI KUBWA baada ya kumaliza ibada ya hijja huko Makka.
Sherehe hizi kwa waislamu zitaanza alhamis tarehe 24/09/2015 zitanikuta nikiwa mpweke katika kuzisherehekea.
Kama kuna binti mrembo anaeweza kunipa kampani katika shereeh hizi namkaribisha. Ikiwa tutakubaliana tabia tunaweza kuwa wa kudumu katika mapenzi yetu.
Nina miaka 31.
Niko Zanzibar.
Mjasiriamali mfugaji.
Like football, action movies.
 
30's si ndio number ya kuwa eligible bachelor, ama? Mi nilidhani hiyo ndiyo number mwanaume unatafutwa kwa udi na uvumba.
 
Pia tangazo hili litoe msikitini huko majibu yanaweza patikana kwa haraka zaidi
 
Natanguliza salamu wana jamvi.

Nimepata bahati mbaya ya kutengana na mpemzi wangu katika siku za hivi karibuni za kukaribia sikukuu za IDI KUBWA baada ya kumaliza ibada ya hijja huko Makka.
Sherehe hizi kwa waislamu zitaanza alhamis tarehe 24/09/2015 zitanikuta nikiwa mpweke katika kuzisherehekea.
Kama kuna binti mrembo anaeweza kunipa kampani katika shereeh hizi namkaribisha. Ikiwa tutakubaliana tabia tunaweza kuwa wa kudumu katika mapenzi yetu.
Nina miaka 31.
Niko Zanzibar.
Mjasiriamali mfugaji.
Like football, action movies.

idi ndogo na ya katkat n lin
 
Back
Top Bottom