hamumwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2022
- 746
- 664
Ndg wanaJamiiForums
Dola ina nguvu zaidi ya kifaru na mizinga naongea haya kwa sababu ifuatayo
1. Dola imeweza kunyamazisha habari ya vyombo kwa sasa wanatoa taarifa na wala sio habari
2. Imeweza kunyamazisha wana wa sihasa wa danganyika kwa sasa hatusikii malalamiko ya hadhara ya mikutano zaidi ya pambio ama kweli Dola inanguvu
3. Viongozi wa kondoo kimyaaa
4. Tume ya binadamu na haki haileweki dola imefanya kila kitu kionekane sawa
WADANGANYIKA hawajui nini kinaendelea zaidi ya matumaini
Ama kweli Dola imeingia hadi mjengoni hoja kwa sasa sio deal ila ni uhasi kwa malikia na kundi lake huko kuzimu
Dola ina nguvu zaidi ya kifaru na mizinga naongea haya kwa sababu ifuatayo
1. Dola imeweza kunyamazisha habari ya vyombo kwa sasa wanatoa taarifa na wala sio habari
2. Imeweza kunyamazisha wana wa sihasa wa danganyika kwa sasa hatusikii malalamiko ya hadhara ya mikutano zaidi ya pambio ama kweli Dola inanguvu
3. Viongozi wa kondoo kimyaaa
4. Tume ya binadamu na haki haileweki dola imefanya kila kitu kionekane sawa
WADANGANYIKA hawajui nini kinaendelea zaidi ya matumaini
Ama kweli Dola imeingia hadi mjengoni hoja kwa sasa sio deal ila ni uhasi kwa malikia na kundi lake huko kuzimu