Kufika Bei ndo maridhiano?Kuna mambo unachanganya aidha kwa makusudi,kuifurahisha nafsi yako au ni kwa kutojua.Dola yaweza kuwepo na ipo hasa.Kiñachotumika ni akili pana,kutoka ndani ya maboksi,kuipenda amani,maelewano na maridhiano,hekima na kuongozwa na roho safi.Tofautisha mambo.
It's payback timeSukuma gang mnahangaika.
Hili gemu mulianzisha nyie. Feel the pinch now.
Kivipi?Ulikuwepo kwenye maridhiano?Wamelipana "bei" gani?Ni kwamba,watu sampuli yako hampo tayari,hampendi wala kusikia kitu amani kikitamalaki.Yawezekana mna maslahi mambo ya hovyohovyo yakitokea nchini.Hofu,utesaji,ubambikaji kesi,vipigo visivyo na makosa na hata mauaji mlifurahia sana.The evil regime's gone for good!Wake up na muache kutengeneza propagations ambazo hata mazuzu haziwaingii vichwani!
Amani wakati wafuasi wenu wanaona washauzwa?Kivipi?Ulikuwepo kwenye maridhiano?Wamelipana "bei" gani?Ni kwamba,watu sampuli yako hampo tayari,hampendi wala kusikia kitu amani kikitamalaki.Yawezekana mna maslahi mambo ya hovyohovyo yakitokea nchini.Hofu,utesaji,ubambikaji kesi,vipigo visivyo na makosa na hata mauaji mlifurahia sana.The evil regime's gone for good!Wake up na muache kutengeneza propagations ambazo hata mazuzu haziwaingii vichwani!
Ulikaa nao wangapi na wapi hao wafuasi?Yaani mtu unakaa na kujitungia vimambo vya ajabuajabu tu,ili iweje?Mlishalishwa roho chafu za uharibifu.Kila mnachokiona mnataka kiharibike.Teh!
Ndg wanaJamiiForums
Dola ina nguvu zaidi ya kifaru na mizinga naongea haya kwa sababu ifuatayo
1. Dola imeweza kunyamazisha habari ya vyombo kwa sasa wanatoa taarifa na wala sio habari
2. Imeweza kunyamazisha wana wa sihasa wa danganyika kwa sasa hatusikii malalamiko ya hadhara ya mikutano zaidi ya pambio ama kweli Dola inanguvu
3. Viongozi wa kondoo kimyaaa
4. Tume ya binadamu na haki haileweki dola imefanya kila kitu kionekane sawa
WADANGANYIKA hawajui nini kinaendelea zaidi ya matumaini
Ama kweli Dola imeingia hadi mjengoni hoja kwa sasa sio deal ila ni uhasi kwa malikia na kundi lake huko kuzimu
Dola Ina nguvu sana, Iliweza kumbadilishia Jina Mh Mbowe na kumpa JINA la MBOWE Gaidi.Ndg wanaJamiiForums
Dola ina nguvu zaidi ya kifaru na mizinga naongea haya kwa sababu ifuatayo
1. Dola imeweza kunyamazisha habari ya vyombo kwa sasa wanatoa taarifa na wala sio habari
2. Imeweza kunyamazisha wana wa sihasa wa danganyika kwa sasa hatusikii malalamiko ya hadhara ya mikutano zaidi ya pambio ama kweli Dola inanguvu
3. Viongozi wa kondoo kimyaaa
4. Tume ya binadamu na haki haileweki dola imefanya kila kitu kionekane sawa
WADANGANYIKA hawajui nini kinaendelea zaidi ya matumaini
Ama kweli Dola imeingia hadi mjengoni hoja kwa sasa sio deal ila ni uhasi kwa malikia na kundi lake huko kuzimu
Iyo ndo nguvu ya DOLA imewafanya wasomi wanaishia kusoma magazeti tu duuuh dola bhanaDola Ina nguvu sana, Iliweza kumbadilishia Jina Mh Mbowe na kumpa JINA la MBOWE Gaidi.
Dola ilimkamata akakaa JELA miezi 8 na ikauaminisha umma kuwa ubaya huo alitenda MWENDAZAKE. Na umma ukaamini na kushukuru alipotoka.
Pole lazima uwe na akili kubwa kuelewa sio izo za kukaliliKuna mambo unachanganya aidha kwa makusudi,kuifurahisha nafsi yako au ni kwa kutojua.Dola yaweza kuwepo na ipo hasa.Kiñachotumika ni akili pana,kutoka ndani ya maboksi,kuipenda amani,maelewano na maridhiano,hekima na kuongozwa na roho safi.Tofautisha mambo.
Fuata taratibu za uandishi.Jazba isikuongoze.Pole lazima uwe na akili kubwa kuelewa sio izo za kukalili