Sikujua! Kumbe huyu dada ni Noctunal

Sikujua! Kumbe huyu dada ni Noctunal

Wakati wa shule nakumbuka walimu kila wakianza topic mpya walikuwa wanaanza na definition ya terminologies , ila nikaona sio kesi🤷🏼‍♀️ kwa msaada wa google nikasolve, ila ambacho bado sijaelewa mpaka saa hii ni kwa nini umeitumia sana hii key word na umekazia kwa capitals😀😀

Nimeconclude tu kuwa habari haikuwa huyo dada bali ilikuwa hii NOCTURNAL maana mbona synonyms zake ziko nyingi tuu call girl, kahaba, prostitute, changu, wa kulipia nk
 
Yaani nimekuchukia bila hata sababu. Bi dada simfahamu wala weye sikufahamu ila kwa ajili ya wale waliwahi jichukulia Nokitono wetu nadhani hukufanya maamuzi mazuri.
Kijana; There is a saying that; In marriage what matters is Love. Only Love will make yu stay married not beauty nor handsomeness. These can be manufactured but Love stand itself.
Ulikutana na Pendo lako ukalikataa. When yu come to your senses it might be too late. Hujasema umeoa au vipi lakini yule aliamua, kwa ajili yako weye, abadilike. Akawa wife material. Weye hukuyaona hayo, You are chasing after a virgin!! What a mistake? Utampata wapi!!!!! Labda wa kichina.
Man up man na kama hajachukuliwa huyo ndiye wako wa maisha na utashangaa mafanikio yako yatakavyokuwa. Usiogope kuwa utakuwa umechukua cha wote kwani atakujakuwa wa mmoja tu naye ni weye.
Narudia tena, Simfahamu huyo bidada wale weye ila ninaona unavyopoteza muujiza wako
 
Ungejilipua umuoe mkuu hiyo kitu hainaga makombo
 
Acha ubinafsi mkuu, kwani wewe hukua unakula usiku? Na kufanya mishemishe zako usiku hadi mkaonana nae? Ulipanga tu kumuumiza
 
Back
Top Bottom