Mwili una mifumo imara ya kutambua mapungufu na mahitaji yake.
Kwa hiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwanini unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na Prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni
Kwa hiyo jaribio lolote la kuuelekeza (to dictate) mwili nini cha kufanya ni kuharibu miitikio ya kimaumbile.
Mwili hutoa viashiria mbalimbali unapokuwa na mahitaji ama mapungufu;
1. Kiu.........maji.
2. Njaa....chakula.
3. Miayo....uchovu.
4. Usingizi... Mapumziko.
N.k.
Kwahiyo kula unaposikia njaa, kunywa maji unaposikia kiu, nenda haja kubwa unapobanwa na haja..
Kama vile ilivyo kwenye haja kubwa kuwa unapobanwa na haja halafu ukajibanabana madhara hutokea mwilini, ndivyo hivyo hivyo hata kwenye njaa. Usipkula unaposikia njaa, mwili utakula baadhi ya cells ama tissues zake ambazo zilikuwa zikifanya kazi nyingine hivyo kupelekea madhara kutokea.
Hujawahi kusikia madaktari wakishauri watoto walale masaa 8+, watu wazima masaa 6+, watu wasibane mkojo muda mrefu, watu wapumzike vya ktosha kupunguza uchovu, n.k?
Sasa kwanini unapokuwa na uhitaji wa chakula iwe nongwa?
Sikubaliani na Prof. Janabi kuhusu nadharia yake ya mahusiano ya kisukari na vyakula. Ninachokiona ni kwamba wazungu wanataka kutuhamishia kwenye mfumo mpya wa maisha. Ni hao hao wazungu ndiyo walikuja na nadharia ya milo 4 kwa siku, sasa wanaipiga vita. What a contradiction!
Ni wao walioleta nadharia ya jogging, sasa wanasema jogging inaharibu mifupa ya miguu na inaleta matatizo uzeeni