hazikwepeki lakini wengine tunazipalilia mkuu.
ahaaaa mimi huwa sisemi uongo mkuu namshukuru Mungu nikiamua ni nimeamua !hapa nachekelea tu liwalo na liwe
ni kweli kabisa sis , huwezi kuwa na furaha ya kweli kama unasababishia wengine machoziGood; lkn ktk kutafuta kwako Smile usicoz machozi kwa wengine!
Furaha ya kweli hupatikana kwenye kutoa kusiko tegemea kurudishiwa!
Furaha ya kweli hupatikana pale unaposamehe na kusahau!
Furaha ya kweli hupatikana ktk Kristu Yesu!
ameeen kaka hivi ile ligi yako umepata mshindi tayari au bado unasajili?
Smile 2013
teh teh hata wewe unashindwa ?
mimi nitakushauri vibaya? unaweza kumkabidhi fisi bucha kweli
Leo mwaka unaisha... Ni jambo la kumshukuru Mungu sana maana hii ni kazi yake katika uumbaji wake!
Mwaka huu unaoisha tumekutana na mengi lakini yote ni mipango yake Mungu.
Personaly mwaka huu unaoisha nilikutana na mengi kwaasilimia 90 ni huzuni mtupu,from feb mamangu alizidiwa hooooi nadhani from there hakuna siku sijawai kutoa machozi so you can imagine lakini pamoja na hayo yote lazima maisha yaendelee nilikuwa najitahidi kujitafutia happiness 50-50 ilikuwepo ila naona tena hizi siku mbili za mwisho inataka kudesapear.
Ila, nimeamua sikubali kabisa kuingia na huzuni mwaka mpya silii tena kabisa neme-renew maisha yangu sasa hivi ni full ku-smile January to December.
Kila kitu nimefunga hata kama namdai mtu nimemsamehe ila cha moto watakiona wanaonidai nitawalipa sinaga dhuluma Mungu shahidi.
Naamini Mungu ni mwema atatubariki.
Nawatakieni heri ya mwaka mpya wadau! Tu-smile na 2013 maisha ni haya haya