Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 474
Jamani hapana hili wazo la kufungwa kwa mtandao wetu, unaotusaidia kifikra ,kimawazo. Sikubaliani nalo na hoja iliyotolea jana bungeni, kuwa mtandao wetu wa kijamii, unapotosha jamii kwa kutoa habari za uongo , mimi naona wakafunge facebook maana huko ndiyo kuna watoto wanaopotoshana , kwahabari za uongo na siyo jamiiforum