Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,672
Kama serikali yenyewe ilishasema kuwa wafanyakazi wake ni laki 4 tu,(kikwete akimjibu mgaya wa tucta kabla ya kampeni zake awamu ya pili).
Makonda ajiulize hiyo ni asilimia ngapi katika watu milioni 45 ya sensa ya mwisho?
Kwa hesabu rahisi ni asilimia 1 tu ndiyo wana ajira,na Dar ina watu zaidi ya milioni 4 karibu asilimia 10 ya watanzania wote wanaishi Dar.
Akishawajua wasioajiriwa na viwanda bado,atawapeleka wapi?na kutokuwa na ajira na ukosefu wa viwanda,nani anastahili lawama?
Makonda ajiulize hiyo ni asilimia ngapi katika watu milioni 45 ya sensa ya mwisho?
Kwa hesabu rahisi ni asilimia 1 tu ndiyo wana ajira,na Dar ina watu zaidi ya milioni 4 karibu asilimia 10 ya watanzania wote wanaishi Dar.
Akishawajua wasioajiriwa na viwanda bado,atawapeleka wapi?na kutokuwa na ajira na ukosefu wa viwanda,nani anastahili lawama?