Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,672
Hujagundua kuwa kina baba kabwela ndiyo wanaomiliki uchumi mkubwa mijini,ndiyo wanaomiliki uchumi wa kati halafu wanamalizia wafanyakazi wa GTZMakonda watingishe tu, wavivu wamejaa wengiiiiii mji huu. Kutwa kulalamika huku wamekaa na kulala na kuibia watu