Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Katika tatizo kubwa ambalo linalo wakabili wanawake karibu 80% ni wanawake wenzao na hilo ndilo pengine halina ufumbuzi!
Yani huwa mnajua kupeana sana wasia na mawaidha ya kila aina lakini huwa ni wepesi kusahau na mnayaacha hapo hapo!
Katika jambo ambalo hunishangaza zaidi ni uwezo mlio nao wa kudhalilishana pengine hili ni janga lenu la taifa kama si dunia!
"Ukitaka kumroga mwanamke kirahisi mtafute mwanamke mwenzie"
Sikukuu njema
Haaaa tunakuwaga na semina za wanawake kibao kushauriana na mambo kibao yaani... lakini unakuta mambo kila siku ni yale yale