hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 457
zamani zipi ambazo elimu haikuwapo!acha kukariri.elimu sio lazima ya makaratasi kama uliyonayo.
Teh Teh kuna mtu alisha niaga kuwa atakwenda kwenye semina ya wadada..nilimuuliza hivi hizo semina huwa mnafundishwa kutosameana? Nilimwambia unapoteza muda kwenda kumuomba Allah na kushiriki hizo semina kama umeshindwa kumsamehe mtu ulikuwa unamuita rafiki yako kipenzi....kwa mikwaruzano isiyo na msingi.Unaweza ukafikiri mtu ameacha kuongea na mtu aliye kuwa rafiki yake kipenzi zaidi ya miaka ishirini sasa ni mwaka hawaongei ...
Unajua laiti mgefahamu mnatakiwa kutumia muda mwingi kufunzana jinsi ya kuvumiliana wenyewe kwa wenyewe kuliko kufunzana jinsi ya kuhandle wanaume!
Wanawake mnauwezo mkubwa wa kuvumilia wanaume lakini kamwe hawezi kumvumilia mwanamke mwenzie..tena akiwa ana fahamu siri zake kidogo basi hiyo ni point of weakness...
Katika vitu vinavyo ni dissapoint kwa wanawake walio wengi ni kukosa uvumilivu kwa wanawake wenzao na uwezo mkubwa na ufundi mkubwa walio nao jinsi ya kudhalilishana wenyewe kwa wenyewe!
Mwanzo nilikuwa sielewi kwanini wanawake walio wengi husema marafiki zao ni wanaume!
Wanawake mlio wengi mnaamini suluhu ya matatizo baini yenu ni kusababishiana maumivu na sio kukaa pamoja na kuyazungumza.
Kuna muda mwingine huwa nashangaa unaweza kuta mwanamke ametukanwa na mwanaume lakini aka mpuuza kabisa na kumsamehe lakini sasa akitukanwa na mwanamke mwenzie..aisee lazima ajute kumfahamu kabisa na kinacho fata ni kudhalilishana na kuvuana nguo!
Wanawake mnajua sana kutunza siri za wanaume na kuwavumilia hata kama wanapitiliza..ni mara chache sasa utakuta mwanamke amemdhalilisha mwanaume hata kama amemkwaza vipi!
Mimi nafikiri mge hamasishana kuacha kudhalilisha na kujifunza kuvumiliana na kupendana kutoka moyoni si mdomoni ..nyie wengi wenu mnachojua ni kuitana baby za mdomoni lakini nyingi si za kweli..ni unafiki mkubwa kumuita mwenzie baby;sweet,best wakati huna uwezo wa kumlindia utu wake,kumvumilia,kumfichia siri zake!
Mimi naamini mabadiliko yanatakiwa kuanzia kwenu wenyewe..
Huo ndiyo ukweli tunaoutaka ueleweke, si kudanganyana.
Haya unayosemea ni maudhi yanayotokea kwenye mahusiano,sio fursa za kijamii za kielimu,kikazi,kibiashara,kiuongozi,nk
Sasa,kimahusiano ni mambo binafsi ambapo mtu na mtu wanajua jinsi ya ku-treatiana wenyewe kwa utashi wao,na kwenye mahusiano jinsia zote zinaoneana,sio wanawake tu
Na ujienda mbali zaidi,hata ukisema ni wanaume tu ndio waonevu si kweli,hata mahusiano ya jinsia moja ya kike kwa kike ndio mbaya zaidi na zinalast kwa muda mfupi zaidi...
Hua wanaume tumezoea kutupiwa lawama zooote,hatuna neno,tumezoea,wanawake ni holy,hua hawanaga makosa!!hahahaaa
Ukweli upi huo bi mkubwa?
Kila kitu mnapata,semeni mnataka nini zaidi?
Hamna kitu anapata mtoto wa kiume mtoto wa kike kawekewa stop asipate,hili mnalijua
Labda basi jinsia yetu mnaitaka,badilisheni maumbile yenu kama mnaweza,mna everlasting bitterness na wanaume tu basi kwavile tu wali happen to me men
Mkiulizwa chanzo halisi cha hizo hasira zenu,na lini ulinyanyaswa wewe personally jibu hua hamna
Haya,naskia na urais mnapewa,halafu bado mtaongea tu!
HAPPY NEW YEAR KWANZA! Yale yale ya kisa cha kuku na wenzie. KUONA JAMBO HALIKO SAWA LAKINI HALIKUHUSU. Litakavokuja kukuhusu utashangaa na roho yako.
Kuegemea huu ubinafsi ndo unakuta mwanaume mmoja anaumiza wanawake hat 10.
Una uhakika kila anachopata mwanaume mwanamke anakipata? Mwanaume akishakutamani ukamnyima hata uwe na ufanisi gani hakupi nafasi. Sio tu kwa sababu ile nafasi huwiwezi but things become PERSONAL kisa ulimnyimaaa. Lakini hawezi kumfanyia hivo mwanaume mwenzie.
Kunaka kivipi tena..kwani tulikua tunaongelea maswala ya kubakaKwa hiyo viongozi ndo wanaruhusiwa kubaka wake zao?
Umeangalia kwa upande mmoja(mbaya) lkn ukiangalia kwa upande mzuri utaona nachoongea..hamna familia inakuwa nzuri kama ileambayo mwanamke yupo in control..hapa namaanisha pia hata maisha yake...familia inakuwa stable na hata mwanamke anakuwa na amani..but unfortunately wanawake siku hizi wanataka WEAK men... mwanaume ambae hahoji.. Mfano demu katoka hajui alipoenda walaahoji, demu anapost picha za ajabu ajabu kwenye mitandao(facebook) jamaa lipohalihoji..hata hapa jf kisa kapost lara 1 hata kama kachemka..mijamaa inasifia tu..hao ndo wanaume ambao wanawake siku hizi wanawapenda na matokeo yake tunayaona..jamii ambayo imechanganyikiwa..hakuna upendo hakuna familia watu wapo wapo tu..say no to feminismWanaume mko obsessed with struggle for power. Yani jiu linataka kuwa juu ya mkewe, juu wanae, juu wadogo zake, juu ya majirani juu ya kila kitu. Hayo sio maisha. Hamna kitu kizuri kama kuwapa nafasi watu wengine wachangie maisha yako, sio kuwa control freak na kutaka kila saa u run the show.
Hilo la ndoa ni mada nyingine ndefu mno..ila kuna umuhimu kwa jamiikuwa na wanaume wa ukweli na wanawake wa ukweli na waoane..ili kizazi bora kiendelee ila sasa hivi hasa kwenye nchi zilizoendelea unaona half-backed men(wanaume jina) because of feminisim na half-raised women(wanawake ambao wanaact na kuplay role yawanaume kwenye maisha) kwasababu ya kutaka 50/50.. Ndo maana unakuta jamii feki ambayo inakusababisha hata usitamani kuolewaSasa ukipata mtu akakuo ndo inakuwa nini sasa? ACHIEVEMENT??????????? Hell no! Ni just tu umepata mtu wa kushea nae maisha basi THE REST REMAINS THE SAME!!!!!!!
REALITY IS ALWAYS STRANGER THAN FICTION!!!!!!!! Hahahaaaa. We ukijishauri wenzio wanakula.
Kutumia mwili kunakuja kama LEVERAGE ya impossibility mlizoziweka nyie wanaume. Inakuwa mnaacha NO WAY OUT! Either ukubali kustaafu bila cheo au ndo utoe mwili. Mwanamke hawezi kutoa mwili wak isipomlazimuuu. Ndo pale njaa imekubana, una shida ya kazi, boasi nataka mzigo. EITHER WAY YOU LOSE!!!!!!! Ukimpa kakutapeli, ukimnyima njaa itakumaliza sooner or later. That is a challange of being a woman.
Hayo yapo,tena kwa jinsia zote,uzuri yanashitakika na kuadhibika,
Nataka unipe evidence kisheria au kimfumo eti mvulana akikutendea kosa lolote hutakiwi kushtaki?Au eti mwanamke aruhusiwi kusoma au kuajiriwa au kumiliki gari au kiwanja au kua Mbunge au rais,wapi wameandika na wapi mwanamke kabaguliwa asigombee?
Kila kitu mtapindisha mtapeleka kwenye mahusiano ambayo ni mambo binafsi,makubaliano ya hiari na yakikushinda hujawekewa gundi ukae hapo,hapo sijaona hoja ya kesi...
Hata men wanakutana na the impossible lakini hawagive up kirahisi. Mwanamke akiwa kwenye matatizo utamsikia tu kila muda kulalama sina hela sina hela. LAkini mtoto wa kiume ngoma inaweza ikawa haiendi vizuri ukajifanya kama kila kitu kipo sawa. Nina experience na hii. Ninapokumbana na tatizo huwa nafikira jinsi ya kulitatua zaidi na si kluanza kusema du sina hela sijui nitafanyeje na hauchukui juhudi zozote kubadilisha hiyo hali zaidi ya kutafuta mteremko kwa papuchi. Sasa wewe unayelalalmika sina hela sina hela ndo unawapa chance wakware kuitumia hiyo weekness kukuchakaza:eyebrows: Na wale wanawake walioamua kujiuza miili yao unataka kuniambia wameshindwa hata kuuza vitumbua? Ni mentality yenu ya kufikiri kwamba papuchi ndo silaha yenu ya mafanikio.
Kiasili mwanamke hawezi kuwa juu ya mwanaume....na hakuna usawa baina ya mwanaume na mwanamke mpaka siku ambayo atakapoanza mwanaume atakopoanza kuziona siku zake....na kushika ujauzito......
that is how feminism works..yaani wanawake wanataka wanaume soft soft..wanaume wanaoact kama wanawake..wanaume ambao wanaamini na kutenda kwa kujua kwamba mwanamme na mwanmke hawawezi kuwa sawa..wanaonekana wabaguzi..lakini ukweli mwanaume naturaly anatakiwa kuwa kiongozi wa mwanamke
Hahahahaaaaaaaaaaaaa............hahahaaaaaaaaaa...........hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaKinachomtofautisha mwanamke na mwanaume ni tofauti za ki biolojia tu, vingine vyote havizuii chochote.
Hahahahaaaaaaaaaaaaa............hahahaaaaaaaaaa...........hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ningetamani useme kitu.