mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Duh, hivi kuna mambo yanaendelea humu zaidi ya tunavyochangia kwa maandishi.....very surprised
umeona mkuu? mi mwenyewe nimeshangaa sana yaani
Duh, hivi kuna mambo yanaendelea humu zaidi ya tunavyochangia kwa maandishi.....very surprised
wanawake siku hizi mnadanganyana na hizo mnazoita haki....
Kabla hujalaumu unapaswa kuelewa biologically kati ya mwili wa mwanaume na mwanamke ni nani yupo haraka kupata hisia?
Hapo akikutafutia msaidizi wa kukusaidia utaanza tena kulalama.
Hakuna kazi ngumu kama kulala na mwanamke kitanda kimoja huku unahamu na yeye anakuzingua eti kachoka,
lakn nyie kwavile mnataka haki hizo haki mtazipata
Happy women's day lara 1
Speaking as a proud woman and a mother....signature yako inasema kila kitu....Member wengi sana walivuma kwa kishindo wamedisappear kimyakimya....tunatakiwa kuwa makini aisee!!
nmekupata mwanamke jasiri, lala1 me kuna kitu kinanisumbua sana na ukweli sioni pa kukimbilia mme, mchumba au bf kukulazimisha kufanya tendo la ndoa, I heard it in more than six women na mimi pia huwa natokewa na ili tatizo kwamba sijisikii kufanya tendo lakini shemejio anataka ila nakua sina jinsi, ila mimi nikiwa najisikia shemejio akiwa amechoka hataki basi hataki kweli, najiuliza kwa nini hivi yeye akitaka mpaka ananisababishia michubuko..... basi nikiona mwanamke yupo kwenye ndoa najiuliza na yeye anaumia kama mimi
Na hapo ndipo zinapoishia akili, fahamu, ujanja na uwezo wa mwanamme. Yareti wanawake wengi wangejuwa hiyo weakness yenu na kuitumia kwa faida yao.
" A man has only enough blood for one head".
Happy Women's Day
Happy Women's Day...
Najivunia kuwa mwanamke..... hilo ndio naloweza kusema kwa sasa...
Btw naona siku hizi jukwaa liko tulivu saana kuna watu walikuja wakawa wana snitch na kutaka kulivuruga wakaishia kujivuruga wenyewe ru
Mmmmmmmmmmh! YOU HAVE NO IDEA! Mi juzi kuna mtu kaniomba ushauri yaliyomkuta ni mazitooo humu. Mi nikamwambia kama vipi lianzishe anaogopaaa. NIKABAKIA KUSIKITIKA TU. Believe that little situation is getting worse.
Yaani wanawake mngekua na akili mzuri na uwezo wa kufikiri hii siku mngeikataa,
hivi katika mwaka mzimz siku yenu moja tu? Hebu mfikiri vizuri,
mimi nafahamu siku zote mwanamke ni zake kwa kuwa ana mchango wake kwenye maisha kila siku,sasa nyie siku yenu moja tu?
mbona wengi tu wanaitumia hiyo fursa mama, si ndo hivo wanapata ajira, wanapanda vyeo, wanapata upendeleo kwenye fursa nyingi tu za posho, ma-DC ndo hao umewaona sasa sijui we unatakaje zaidi
halafu eti mnakaa kukea wasitumie miili yao wakati soko lipo!! si ndo maana zoezi liko kwenye makaratasi tu halifanikiwi ng'o!!
Yaani wanawake mngekua na akili mzuri na uwezo wa kufikiri hii siku mngeikataa,
hivi katika mwaka mzimz siku yenu moja tu? Hebu mfikiri vizuri,
mimi nafahamu siku zote mwanamke ni zake kwa kuwa ana mchango wake kwenye maisha kila siku,sasa nyie siku yenu moja tu?
mbona wengi tu wanaitumia hiyo fursa mama, si ndo hivo wanapata ajira, wanapanda vyeo, wanapata upendeleo kwenye fursa nyingi tu za posho, ma-DC ndo hao umewaona sasa sijui we unatakaje zaidi
halafu eti mnakaa kukea wasitumie miili yao wakati soko lipo!! si ndo maana zoezi liko kwenye makaratasi tu halifanikiwi ng'o!!
REALITY IS ALWAYS STRANGER THAN FICTION!!!!!!!! Hahahaaaa. We ukijishauri wenzio wanakula.