LebronWade
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,615
- 1,510
Amgoing to try be simple:
U are on point in this discourse!
Mimi siongei kwa hasira ila nakubali kuwa sheria imejaribu sana kueka njia zakumlinda mwanamke
kuwepo kwa sheria na miongozo haimaanishi hivi vitu vinafwatwa kikamimilifu or even half
for example:sheria inasema mwanamke apewe elimu kama mwanaume..je watoto wotewa kike wanapata elimu?
familia ngapi vijijini hadi leo mtoto wa kike ataozeshwa na wa kiume ataenda shule?
Hujaongea kwa hasira,wrestling the matter at hand,kama sheria zipo na hazifatwi,supposedly,kosa ni la mwanaume?Yaani if I get you correctly,mifumo yote ya law enforcement,kutoa haki,serikali nzima na jamii kwa ujumla ime-conspire kubana all affairs ambazo ni haki ya mwanamke?Fill me in more about this.
Mifano uliyotoa on the surface value ni sahihi ila in a nutshell kuna tatizo kidogo,leo hii as we speak ni jamii chache sana Tanzania zinazokataza mtoto wa kike kusoma au kutahiri,ni jamii za kuhesabika.Na infact wanaofanya hivyo wakishikwa ni jela na kila siku tunaona.Yaani tukio la hivyo likipatikana ni news worthy,litasmash all over the place.
je ukeketaji kinyume na matakwa ya mkeketwaji inafanyika?
Ndio inafanyika,ila ukeketaji upo kwa jamii chache tu nowadays.
je hakuna sheria yakutomuumiza binadamu mwenzio?
Ndio,ipo
je ni wanawake wangapi wanakuwa raped everyday?
Sina figure kamili,ila wapo….pia wanaume wanabakwa wapo pia.
or what about domestic violence(ipo prone to women zaidi)
Ipo…correct,ni wanawake zaidi…hapa napo huenda wanawake ndio wanaoripoti matukio zaidi...unachosema sidhani kama kina mantra status,still debatable!
sitaki kueka huu mjadala in a more personal level ya mahusiano at all so aljust use examples za maisha ya kawaida
Sawa…..
Personally nasupport equality in the sense of fairness and justice thats all
usichukue haki ya mtu kwasababu tu ya jinsia yake bali kuwepo na sababu zaidiya jinsia yake
kama kazi imetokea angalia cridentials na what the person has to offer siojinsia yake
Hii ndio ndoto ya kila social group kwenye jamii!
je hizi movement zina effect?hell yes
I agree…
Nimeshawahi kusema,wanawake tunatumia emotions zaidi and thats just nature naMungu alijua ni kwanini kamuumba mwanamke hivyo so lets not use it as aweakness ya kumkandamiza mwanamke
lakini for some reason baadhi ya wanawake wametumia hizi movement kutoa hasirazao ndo hapo utaona mtu anafanya kazi but hataki mume amuulize mda atakaotoka
Baadhi ya wanawake wametumia hizi movement kama njia za kuharibu misingi yamaisha(i mean morals)
Kumbe unakubali WOMEN and MEN are different in principle.As per what you just wrote,you are not feminist.I can see you believe in "Motherhood".
Haya,let us agree in principle kwamba MEN ARE NOT EQUAL TO WOMEN. Na pia tukubaliane however kwamba the rights of women can be no less –
Sasa mnavyoenda unataka kuniambia because of their unique position of motherhood, their rights should in fact be greater than those of men labda???!!It is a heck of a nut to crack!
Baadhi ya wanawake wametumia movement hizi kama njia ya kukandamiza wanawakewenzao
Reality remains,woman killer is her fellow woman!
je imeathiri wanaume?ndio
sasa hivi idadi ya wanaume wanaoweza kusimama kwenye familia ni wachachecompared to zamani yani wanaume wengi wamefanya majukumu yao yanabebwa nawanawake
ni wanaume wachache ambao mama ameweza kuembrace(positively) movement na waowakasimama kama wanaume
Na pia ni wanawake wachache these days wanaweza kusimama kama mama like it used to be in those days.Hii ni maadili kushuka,KE na ME zote zimeadhirika sawia!
its not the movement,ni reaction ya baadhi ya wanawake na kutojua lipi lakuchukua na lipi la kuacha kutoka kwenye midomo ya baadhi ya wamama wanaoongozahizi movement,wale ni binadamu na huwezi jua mambo waliyoyapitia na at timeswanashindwa kuact proffessionally ni kama tu wachungaji na jinsi baadhwanatumia nafasi zao vibaya
Wanawake wanamalizana wao kwa wao!
swala la wanawake kutumia miili yao kama njia ya kipato
this goes deeper maana hata feminism haikubali mwanamke kutumia mwili wake kamanjia ya kipato
it goes to the roots..familia,child psychology etc
Hapa ni purely choice….
swala la wanawake kuoneana
hili lipo kwa jinsia zote
wapo wnaume wangapi wamemalizana kibiashara,wamedhulumu haki za urithi,wameuandugu zao etc
tofauti kubwa ya wanawake na wanaume ni emotions yani mwanamke akimchukia mtuatataka kila mtu ajue na atafanya kila analoweza kumuonesha
baadhi ya wanaume wako hivi pia
Correct,ipo kote kote!
kazini
naelewa how much wale wanawake ambao they want to use their capabilities nahawataki kutumia miili yao kufanikisha malengo yao wanapitia mengi
kuna kutunza familia
kuna mabosi wasiokua na nidhamu
kuna wanawake wenzio watakaokudiscourage
ila you still have to survive
Shida zote hizo,wanapata wanaume pia,ila naturally hua hatusemi au kulalamika,it's men's code,uki-whine tu u will called a sissy all your life!
to me equality na equity inamaanisha nina uwezo wa kuachieve anything if i putmy efforts to it
it means i should treat people kama vile napenda kuwa treated na vile ambavyomazingira yatanifanya nisway without
Ni sawa Tracy,I see a woman can archive anything here in Tanzania as we speak,pretty much!
Sioni hii kulialia linatoka wapi….