TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,774
- 21,270
Amani kwako.
Dunia inaadhimisha uwepo wa utoaji wa habari duniani kupitia redio na siku ya tarehe 13.02.2020 tunaadhimisha Siku ya Redio.
Toa maoni yako juu ya siku hii, ikiwa ni pamoja kuangazia tasnia hii ya redio inayoongozwa na waandishi wa habari:
- Kwa sasa imeingiliwa na watangazaji wengi wasio na taaluma ya uandishi wa habari.
- Serikali ya Tanzania kuwataka watangazaji wasio na elimu ya uandishi wa habari kutafuta au kuongeza elimu.
Dunia inaadhimisha uwepo wa utoaji wa habari duniani kupitia redio na siku ya tarehe 13.02.2020 tunaadhimisha Siku ya Redio.
Toa maoni yako juu ya siku hii, ikiwa ni pamoja kuangazia tasnia hii ya redio inayoongozwa na waandishi wa habari:
- Kwa sasa imeingiliwa na watangazaji wengi wasio na taaluma ya uandishi wa habari.
- Serikali ya Tanzania kuwataka watangazaji wasio na elimu ya uandishi wa habari kutafuta au kuongeza elimu.