Siku ya Redio Duniani: Je, ni sahihi kwa wasio na taaluma ya habari kutangaza?

Radio apps zipo nyingi plastore fanyeni mdownload bhana
Screenshot_20200213-151012_Google%20Play%20Store.jpeg
 
Ni kweli radio zimepoteza mvuto sana kwa sasa kutokana na sababu kadhaa.

1 badiliko kubwa sana maudhui ya maredioni.

2 kuingia kwa smartphones kimepunguza sana uhitaji wa radio kupata habari.

3 kuingia kwa biashara katika Tasnia ya habari na mawasiliano hivyo kuziondoa radio katika misingi ya uhabarishaji kwa hadhira na kuwa business entity.

4 Tasnia ya habari kuingiliwa na watu ambao siyo wanataaluma wa habari.

5 social media pia zimeweza kuziondoa kabisa main stream media katika jukumu la uhabarishaji kwani wananchi wanahabarishana wenyewe bila kusubiri taarifa kwenye vyombo vya habari.

Pamoja na yote hayo radio nyingi hasa FM radios zinafanya kile wanaita edutainment na hivyo uhabarishaji umepungua sana, hivyo ili uendane na mtazamo wa sasa wa media lazima uwe tayari kushift kutoka old school model kuingia kwenye new trends.





Amani kwako.

Dunia inaadhimisha uwepo wa utoaji wa habari duniani kupitia redio na siku ya tarehe 13.02.2020 tunaadhimisha Siku ya Redio.

Toa maoni yako juu ya siku hii, ikiwa ni pamoja kuangazia tasnia hii ya redio inayoongozwa na waandishi wa habari:

- Kwa sasa imeingiliwa na watangazaji wengi wasio na taaluma ya uandishi wa habari.

- Serikali ya Tanzania kuwataka watangazaji wasio na elimu ya uandishi wa habari kutafuta au kuongeza elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ina hakisi uharisia wa maisha na kipindi tunachoishi...
5 social media pia zimeweza kuziondoa kabisa main stream media katika jukumu la uhabarishaji kwani wananchi wanahabarishana wenyewe bila kusubiri taarifa kwenye vyombo vya habari.
 
Ni sawa depends na taaluma yake na current needs haiwezekani mtangazaji by professional ajue kila criteria na continuous changes.
 
Back
Top Bottom