Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,802
Mimi naikumbuka Channel Africa idhaa ya Kiswahili kutoka Afrika kusini miaka ya 1993 hadi 1997 hivi. Ilitisha sana hii redio. Nawakumbuka watangazaji km Jenny Zondo (Marehemu) na Mike Alelengi. Hii ndo redio pekee iliyokuwa inashika vzr bila mikwaruzo.
Zamani usikivu wa redio nyingi ulikuwa wa taabu sana. Kipindi hicho muziki wa Afrika kusini ulikuwa juu saba.Ni kupitia redio hii ndo tulikuwa tukisikiliza nyimbo za Luck Dube i.e (Remember me), Ivon Chaka chaka (Mama land), Brenda Fessie, Chicco nk. pamoja na habari mbalimbali za kimataifa. Sina hakika km bado iko hewani. Nai mic sana hasa ule mlio wa ndege kabla ya kuanza kipindi.
Daah! time really flies
Zamani usikivu wa redio nyingi ulikuwa wa taabu sana. Kipindi hicho muziki wa Afrika kusini ulikuwa juu saba.Ni kupitia redio hii ndo tulikuwa tukisikiliza nyimbo za Luck Dube i.e (Remember me), Ivon Chaka chaka (Mama land), Brenda Fessie, Chicco nk. pamoja na habari mbalimbali za kimataifa. Sina hakika km bado iko hewani. Nai mic sana hasa ule mlio wa ndege kabla ya kuanza kipindi.
Daah! time really flies