Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Habari wanajamvi

Hiki kisa kimewahi kunikuta kwenye maisha yangu,siku ya kwanza nachepuka nililia machozi.

Ilikuwa hivi,kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja niliyekuwa nimempenda sana,lakin kuna kaka mwingine alinilaghai kwa maneno na vipesa nikajikuta nimemkubalia
Siku naenda na huyu mpenzi mpya faragha tukiwa sita kwa sita,baada ya round ya kwanza kumalizika,SMS ilingia kwenye sim yangu,kuangalia alikuwa mpenzi wangu "baby wangu uko wapi"

Ghafla nilishikwa na kitu Fulani kilichoniingia mwilini,nikahisi kutomtendea haki mpenzi wangu,nikaanza kububujikwa na machozi,jamaa akawa ananiuliza kulikoni,nikamwambia naumwa,ila hakuona wakati nasoma ile SMS alikuwa bafuni
Nililia nikaamka nikavaa nguo,nikachukua mkoba wangu na kuondoka,hela alizokuwa amenipa nikamrushia.Tangia siku hiyo sikurudiana na huyo mkaka,SMS zake sikumjibu,wala kupokea sim yake

Je wewe imewahi kukuta hali hiyo?
Wa hivi huwa Wanakwepesa kwepesa
 
Habari wanajamvi

Hiki kisa kimewahi kunikuta kwenye maisha yangu,siku ya kwanza nachepuka nililia machozi.

Ilikuwa hivi,kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja niliyekuwa nimempenda sana,lakin kuna kaka mwingine alinilaghai kwa maneno na vipesa nikajikuta nimemkubalia
Siku naenda na huyu mpenzi mpya faragha tukiwa sita kwa sita,baada ya round ya kwanza kumalizika,SMS ilingia kwenye sim yangu,kuangalia alikuwa mpenzi wangu "baby wangu uko wapi"

Ghafla nilishikwa na kitu Fulani kilichoniingia mwilini,nikahisi kutomtendea haki mpenzi wangu,nikaanza kububujikwa na machozi,jamaa akawa ananiuliza kulikoni,nikamwambia naumwa,ila hakuona wakati nasoma ile SMS alikuwa bafuni
Nililia nikaamka nikavaa nguo,nikachukua mkoba wangu na kuondoka,hela alizokuwa amenipa nikamrushia.Tangia siku hiyo sikurudiana na huyo mkaka,SMS zake sikumjibu,wala kupokea sim yake

Je wewe imewahi kukuta hali hiyo?
Ila ulinipa hasira sana siku ile, nakupiga kimoja halafu unakimbia... sasa kwa taarifa yako ile hela uliyonirudishia nilienda kuchukua voda fasta mpaka kukakucha...
 
Nimesubscribe hili swali mkuu akikujibu nitapata notification!!Huna ndoa unawezaje kuchepuka?!!
Kwani ukiwa na mpenzi,huyo si ndo mtu wako,ina maana ikitokea ukawa na mtu mwingine hapo utakuwa umemsaliti it means umechepukaaa,au unamaanisha mpaka ndoa ndo kuchepukaa?
 
Hahahaa nakutania mkuu, nikiwa chuo kuna Dr alikuwa anatufundisha akatuambia 'Huyo Nyerere anasema mtu ukila nyama ya mtu huwez kuacha ina maana yeye alishajaribu kula hiyo nyama ya mtu?'
Poa poa shemela nimekuelewa!By the way nina mtoto wa kichaga wa ubini wa Mushi kazuri nakapenda huwa napendaga kumtaniatania!!Poa mkuu ngoja turudi kwa huyu mdada Cute Love.
 
Back
Top Bottom