NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Nipo hapa naangalia mechi ya Tanzania vs Misri, nikaamua kubadili channel na kuweka Clouds ndio nakutana na tamasha la wala chips Dar linafanyika Mbagala zakheem
Maana ya hii siku ni nin sijaelewa wadauu hebu nifafanulieni
kwamba watu wanapenda hiki chakula hadi wameweka siku ya kuadhimisha??
Maana ya hii siku ni nin sijaelewa wadauu hebu nifafanulieni
kwamba watu wanapenda hiki chakula hadi wameweka siku ya kuadhimisha??