Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Senkyuu Mkuu! Mtazamo wako uko sanjari na wangu!" Mimi ni mshabiki zaidi wa Tanzania kuliko wa (CCM). Kama kungekuwa na chama kingine kizuri, nisingehangaika na CCM. Ningeacha chama hicho kingi ne kishike madaraka" JK Nyerere.