Siku ya 'kifo cha CCM' wewe utafanya nini kwa furaha?

Kwa jinsi ulivyoweka nadhiri yako weye mwenyewe unaonyesha una shaka na tukio hilo.
 
Nitakwenda kumuamsha Ole sokoine ashuhudie laana za wauaji wake zikitimia live huku nikimleta Balali mzoga mzoga wakati naimba Yesu Ni bwana
 
Nitapenda tafuta wanwake wazee wamatandike Viboko VINGI SANA WASSIRA ,CHENGE WEREMA, MUHONGO, LUKUVI MALIMA. live ktk TV.
 
Wakuu siku ambayo ccm itaondoka madarakani na kuwa chama cha upinzani, Je utafanya nini kwa furaha?
Binafsi siku hiyo kwanza sitaenda kazini....pili nitavua nguo zote mchana kweupee na kubaki kama nilivyozaliwa
kisha nitazunguka kwa kukimbia nyumba ninayoishi mara 3 kama chizi hivi.....tatu jioni ya siku hiyo hiyo nitaenda
kulala kwenye nyumba ya ibada hadi asubuhi huku nikimshukuru mungu wangu.
Je, wewe mwenzangu utafanya nini kwa furaha panapo siku hiyo?

CCM haiwezi kuondoka madarakani labda iondolewe madarakani.

Swali ni kwa siasa zetu hizi za maslahi zisizo na dira sahihi ya kuiondoa CCM madarakani, ni nani ataiondoa CCM hapo ilipo?
 
CCM haiwezi kuondoka madarakani labda iondolewe madarakani.

Swali ni kwa siasa zetu hizi za maslahi zisizo na dira sahihi ya kuiondoa CCM madarakani, ni nani ataiondoa CCM hapo ilipo?

Wewe,mimi na yule (peooople's power)
 
Wakuu siku ambayo ccm itaondoka madarakani na kuwa chama cha upinzani, Je utafanya nini kwa furaha?
Binafsi siku hiyo kwanza sitaenda kazini....pili nitavua nguo zote mchana kweupee na kubaki kama nilivyozaliwa
kisha nitazunguka kwa kukimbia nyumba ninayoishi mara 3 kama chizi hivi.....tatu jioni ya siku hiyo hiyo nitaenda
kulala kwenye nyumba ya ibada hadi asubuhi huku nikimshukuru mungu wangu.
Je, wewe mwenzangu utafanya nini kwa furaha panapo siku hiyo?

Kwa jinsi muelekeo ulivyo ccm kamwe haitatoka madarakani, labda litoke jina tu la ccm lakini watu watakuwa walewale ila wamejabadilisha jina tu, tatizo sio jina ccm bali watu waliiomo mule na tabia zao ambao watanzania wanaamini kweli kweli, eti mtu mwizi akiwa ccm akienda chadema anageuka malaika ghafla, ama kweli sisi watanzania ni mizigo tena mizigo ya mavi hatubebeki, mtu akituweza kwa uzito atatushindwa kwa harufu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom