Siku ya 'kifo cha CCM' wewe utafanya nini kwa furaha?

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Wakuu siku ambayo ccm itaondoka madarakani na kuwa chama cha upinzani, Je utafanya nini kwa furaha?
Binafsi siku hiyo kwanza sitaenda kazini....pili nitavua nguo zote mchana kweupee na kubaki kama nilivyozaliwa
kisha nitazunguka kwa kukimbia nyumba ninayoishi mara 3 kama chizi hivi.....tatu jioni ya siku hiyo hiyo nitaenda
kulala kwenye nyumba ya ibada hadi asubuhi huku nikimshukuru mungu wangu.
Je, wewe mwenzangu utafanya nini kwa furaha panapo siku hiyo?
 
Wakuu siku ambayo ccm itaondoka madarakani na kuwa chama cha upinzani, Je utafanya nini kwa furaha?&lt;br /&gt;<br />
Binafsi siku hiyo kwanza sitaenda kazini....pili nitavua nguo zote mchana kweupee na kubaki kama nilivyozaliwa&lt;br /&gt;<br />
kisha nitazunguka kwa kukimbia nyumba ninayoishi mara 3 kama chizi hivi.....tatu jioni ya siku hiyo hiyo nitaenda&lt;br /&gt;<br />
kulala kwenye nyumba ya ibada hadi asubuhi huku nikimshukuru mungu wangu.&lt;br /&gt;<br />
Je, wewe mwenzangu utafanya nini kwa furaha panapo siku hiyo?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hahaah siku hiyo nitahakikisha nasimamia Hatua kwa Hatua marehemu Mtarajiwa Zombe a.k.a Muuaji akijinyonga.
 
Wakuu siku ambayo ccm itaondoka madarakani na kuwa chama cha upinzani, Je utafanya nini kwa furaha?
Binafsi siku hiyo kwanza sitaenda kazini....pili nitavua nguo zote mchana kweupee na kubaki kama nilivyozaliwa
kisha nitazunguka kwa kukimbia nyumba ninayoishi mara 3 kama chizi hivi.....tatu jioni ya siku hiyo hiyo nitaenda
kulala kwenye nyumba ya ibada hadi asubuhi huku nikimshukuru mungu wangu.
Je, wewe mwenzangu utafanya nini kwa furaha panapo siku hiyo?
Kwa furaha ntakayo kuwa nayo nahisi ntacheka,na kulia karibu ya kupasuka.Tuombe Mungu,Mola,Mizimu, hata mashetani siku hiyo ifike.
 
&#8303;&quot; Mimi ni mshabiki zaidi wa Tanzania kuliko wa (CCM). Kama kungekuwa na chama kingine kizuri, nisingehangaika na CCM. Ningeacha chama hicho kingi ne kishike madaraka&quot; JK Nyerere.
 
mie namwomba Mungu anipe uhai kuishuhudia siku hiyo. Baada ya hapo nitapiga magoti kumshukuru Mungu. Kisha nitazunguka jiji na gari langu huku vioo vyote vimeshushwa napiga muziki usipime. Kisha naichukua familia yangu na marafiki na majirahi tunafanya boooonge la pati bustanini kwetu. Na ndicho nilichokifanya mwaka jana Sugu alipomdondosha CCM Mbeya Mjini...ila ya urais itakuwa mara mbili.
 
mie namwomba Mungu anipe uhai kuishuhudia siku hiyo. Baada ya hapo nitapiga magoti kumshukuru Mungu. Kisha nitazunguka jiji na gari langu huku vioo vyote vimeshushwa napiga muziki usipime. Kisha naichukua familia yangu na marafiki na majirahi tunafanya boooonge la pati bustanini kwetu. Na ndicho nilichokifanya mwaka jana Sugu alipomdondosha CCM Mbeya Mjini...ila ya urais itakuwa mara mbili.
Nimeipenda hii
 
Wakuu siku ambayo ccm itaondoka madarakani na kuwa chama cha upinzani, Je utafanya nini kwa furaha?
Binafsi siku hiyo kwanza sitaenda kazini....pili nitavua nguo zote mchana kweupee na kubaki kama nilivyozaliwa
kisha nitazunguka kwa kukimbia nyumba ninayoishi mara 3 kama chizi hivi.....tatu jioni ya siku hiyo hiyo nitaenda
kulala kwenye nyumba ya ibada hadi asubuhi huku nikimshukuru mungu wangu.
Je, wewe mwenzangu utafanya nini kwa furaha panapo siku hiyo?

Post yako inaonyesha ni jinsi gani Watanzania wengi tulivyo. Kama hupendi CCM iendelee kutawala ungejiuliza, utafanya nini ili CCM iondoke madarakani. Sio utafanya nini kama CCM itaondoka madarakani. Nani ataindoa madarakani kama wewe huwezi? Unasubiria kutafuniwa na wengine, ulishwe, then kazi yako iwe ni kwenda haja kubwa tuu. Usiulize Tanzania itakufanyia nini. Uliza utaifanyia nini Tanzania. Suala la whether or not CCM itaondoka madarakani lipo mikononi mwako. Vingenevyo utakuwa unaota uliyoyaandika. In fact, inaonekana kama vile umetoka usingizini.
 
Nikiiondoa CCM madarakani nitachinja mbuzi mzima tule na familia na muziki mkuuubwa usiku kucha
 
naenda kun** barabarani. kwa hasira..na wakiondoka hawatarudi tena
kwani tutapia nyumba kwa nyuma kuonyesha maovu yao hawa nyan'gau.. mimi nitajitolea kununua projector zaidi ya ishirini tutpita kila kijiji na maprojector yetu kuwaonyesha wananchi jinsi serikalini watuwanavyokula baa huku wananchi wakipigika
 
Hiyo siku sidhani kama ipo. Jitahidi kujenga sura ya chama kwanza kabla ya kuota kuchukukua dola.
 
Back
Top Bottom