...nawaza Tu hapa! Siku Rais wetu akipokea Nobel price nadhani siku hiyo Taifa zima tutakula wali na nyama (nimewaza kama mwanafunzi wa sekondari)
Vile vile siku hiyo itatangazwa kuwa Siku ya mapumziko nchi nzima (nimewaza kama Zitto)
Siku hiyo wanachuo wote walioko kitaa wataajiriwa (nimewaza kama mvuvi pale Feri)
Hongera Waziri Mkuu wa Ethiopia Kwa kupokea Nobel Prize! U deserve it brother!
Na wengine waige kuishi maisha halisia na si ya maigizo!
Na kweli wewe ni teja la Kwamtogole!Siku hiyo waliotumbuliwa wote watarudishwa kazini
Watumishi wataongezewa mishahara na kupandishwa madaraja... Nimewaza kama teja wa kwamtogole
Nawaza Tu hapa! Siku Rais wetu akipokea Nobel price nadhani siku hiyo Taifa zima tutakula wali na nyama (nimewaza kama mwanafunzi wa sekondari)
Vile vile siku hiyo itatangazwa kuwa Siku ya mapumziko nchi nzima (nimewaza kama Zitto)
Siku hiyo wanachuo wote walioko kitaa wataajiriwa (nimewaza kama mvuvi pale Feri)
Hongera Waziri Mkuu wa Ethiopia Kwa kupokea Nobel Prize! U deserve it brother!
Na wengine waige kuishi maisha halisia na si ya maigizo!
Wamegoma kujiandikishaKuna watu watakufa kwa wivu
Ila tuzo bora ambayo itamfaa Magufuli Ni ya kutoka kwa Wananchi sio kutoka huko kwa mabeberu yanayotuhujumu
Hiyo anaweza akapata kila mwakaNasikia Hitler, Idd Amin, Bokasa wanaandaa Nobel Prize yao! Labda hiyo!
Marehemu hasimangwi...alitaifisha shule za kikristo ..muislam angeweza kufanya hivyo??? na nyie msome..right man wake Rashid Kawawa..wewe mkojani acha ushambaUmemsahau Laanatullahi Nyerere?