Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
- Thread starter
- #21
jf watanyakuliwa wachache
kwa nini jf wataenda wachache? labda jukwaa la MMU niko sure wataenda wachache
jf watanyakuliwa wachache
Mimi nina kitabu cha muongozo wa ibada ya mazishi.mara ya mwisho kuhudhuria mazishi ya kikristo ni lini? Mimi nimeudhuria last 2sunday na nimesikia hivo.so go and correct quote yako ya udini
Moneystunna umenichekesha
Jukwaa la MMU na Jamii Photos, kuna vituko ambavyo waweza hisi kuwa watakaonyakuliwa ni wachache sana.kwa nini jf wataenda wachache? labda jukwaa la MMU niko sure wataenda wachache
walokole bwana!!huko mbinguni kumbe tunaenda na nguo zetu visuruali vilivyobana vinguo vifupi ,mabegi mgongoni eeee .kweli bado sana injili haijahubiriwa na yesu wenu kurudi bado sana.injili haijaeleweka watu wanakula sadaka tu
sijui ni nani aliyewalisha sumu hiiHiyo ni picha ya mfano tu kuonyesha itakavyokuwa. Vitu vyote vinavyoharibika vitabaki duniani, hata miili yetu ya kuharibika itabaki hapa, maana itabadilishwa na tutakuwa na miili mipya isiyoharibika.
We nidanganye danganye 2 Ukinambia Ukweli ntaumia... hata kama ni Uuongo ,, nidanganye........ Ahhhh .,,,,,, Sheta she shsheeta.
peponi kuna mabikira 72
walokole bwana!!huko mbinguni kumbe tunaenda na nguo zetu visuruali vilivyobana vinguo vifupi ,mabegi mgongoni eeee .kweli bado sana injili haijahubiriwa na yesu wenu kurudi bado sana.injili haijaeleweka watu wanakula sadaka tu
Kwani si wanasema siku hiyo hakuna aijuae, mana wamama wawili watakuwa wanasaga nafaka ,mmoja wao "atanyakuliwa" kwa maana kwamba hakuna kujiaandaa siku hiyo! so usishangae watanyakuliwa na mavazi yao pia na vijibegi vyao mgongoni!
soma hayo maneno hapo stiil ni long process sio unavofikiri na waliokufa je !si inasemekana watafufuliwa inamaana wataendaje?hiyo ni picha ya mfano tu kuonyesha itakavyokuwa. Vitu vyote vinavyoharibika vitabaki duniani, hata miili yetu ya kuharibika itabaki hapa, maana itabadilishwa na tutakuwa na miili mipya isiyoharibika.
View attachment 74988View attachment 74988View attachment 74988
apo moja moja mpaka kwa mungu,kutakuwa hakuna njaa tena wala magonjwa,vifo nitaishi milele na kumtukuza mungu
mara ya mwisho kuhudhuria mazishi ya kikristo ni lini? Mimi nimeudhuria last 2sunday na nimesikia hivo.so go and correct quote yako ya udini
mhihhhh!!!!!!!haya basi kwa Mungu wataenda wasafi sana make watakua wamekamuliwa mpaka kinyesi
jf watanyakuliwa wachache