happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
soma hayo maneno hapo stiil ni long process sio unavofikiri na waliokufa je !si inasemekana watafufuliwa inamaana wataendaje?
Wateule (watakatifu) waliohai na waliokufa tu ndio watakaonyakuliwa. Waliohai ambao watakuwa hawajaonja mauti ndio hao watakaokutwa wakiwa wanafanya shughuli zao za kila siku na itatokea mteule atanyakuliwa akimuacha mwenye dhambi. Wakati huo huo wafu watatoka makaburini na kupaa mawinguni wakiungana na wateule waliohai. wote watabadilishwa miili yao na kuvaa miili isiyo haribika. Kitendo hicho kitakuwa cha kufumba na kufumbua - yani ni mara moja.
Watakaobaki hapa ndio watakaopatwa na dhiki kuu na shida ya ajabu. Mpinga Kristo atajidhihirisha wazi na atatawala dunia.
Ni vizuri tukajipangia utaratibu wa kusoma na kuyaelewa maandiko. Kila asomaye na aelewe.