MKK hilo ndio swali.
Tumuulize nani? mimi nitasema ...................
sasa tufanyeje????
Mimi bahati nzuri niko kampuni binafsi, na sipokei rushwa, KABISA hata ulie. Sina mshahara mkubwa ila pia hakuna mianya mingi kwa hio wazo pia nalo liko mbali. (too risky)
Ila wafanyakazi wa kipato cha chini serikalioni wanajiendekeza, lakini hao wenye kutupwa sehemu za ajabu, wanaposhindwa kula na wakubwa, mbona wanaishi?
unajua hii rushwa ikipungua seriakalini, na warsha na semina elekezi pia zikipungua, hela zitaongezeka na mishahara itongezeka pia. (labda)
mi nadhani swala na mtu mmoja, kiongozi kuamua kujitoa sadaka na kulivalia njuga.
mi nadhani ni attitude ya kiongozi, commitment yake na upeo wake, bado hatuna kiongozi aliepania kuitoa rushwa, rushwa inaweza kupungua kwa 60% kwa muda mfupi, hiyo itakayobaki 40% ndio inahitaji nguvu kubwa