Kwa nn mkuuMimi natoaga hela za kiwi
Kwa nn mkuuMimi natoaga hela za kiwi
Kwa sababu sio kosa mkuu ili wakatoe vumbi kwenye viatu au wewe unapenda kuwaona wachafu ?Kwa nn mkuu
Kwani hawana mshahara?Kwa sababu sio kosa mkuu ili wakatoe vumbi kwenye viatu au wewe unapenda kuwaona wachafu ?
Inamaa hukuwa na baba na mama wakupeleka?Nilitoaga mahakama ya ki....tu.nilikwenda kuomba affidavit(kiapo cha umri) jamaa akaniambia ili ukipate unatakiwa uwe na mashahidi(baba na mama,barua kutoka serikali ya mtaa,leaving certificate na vingine vingi)halafu sikuwa hata na kimoja.jamaa akaniambia nataka nkusaidie ukipate bila vitu hivyo nkamtoa 10000 dakika sifuri nilikuwa nikitoka getini na kiapo changu
Kwan takrima ni nini? Takrima hutolewa baada ya kazi! Rushwa hutolewa ili kazi au jambo liwezekane!Mimi huwa natoa takrima tu, rushwa sitoi ni jinai.
Ww fetty ushawahi toa?Hii kitu haiepukiki mkuu hasa ukibanwa na shida .Wengi hawapendi ila ukibanwa hakuna jinsi utajikuta unatoa tu wala hulazimishwi.
Shida haina adabu ati.
Wote wapo na vitu vingine vyote nilikuwa navyo tatizo sikwenda navyo na ndo ilikuwa siku ya mwisho ya kurudisha affidavitInamaa hukuwa na baba na mama wakupeleka?
Takrima kwa mujibu wa sheria iliyotungwa enzi za Ben ni kumkirimu mtu kabla na baada ya shughuli. Ni ile ubinadamu tuliojaaaliwa wabantu/afrika.Kwan takrima ni nini? Takrima hutolewa baada ya kazi! Rushwa hutolewa ili kazi au jambo liwezekane!