Siku moja na Sir Andy Chande

Freemasons tunaamini tumezaliwa peponi na dunia hatukuja kuteseka


One of our motto
All members tukutane kwenye mazishi kesho.
 
Ahsante kwa simulizi, ungetupa na dondoo juu ya hiyo Club
 

= yamebadilika
 
Kwa Mara kwanza Maalim nadiriki kusema umetuletea kisa kizuri kisicho na mawaa ya imani Wala malalamiko. Una kumbukumbu nyingi
Ni kweli kabisa...maana huyu Mzee MS asipotia mambo ya udini huwa hapati raha kabisa
 
Huyo Mzee wa club ndio nani shekhe? Dunia haiishi viroja...mchana watu washika dini...usiku wasema mengine kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hadithi nzuri, siku nyingine tuelezee kuhusu hiyo "club" ya kina chande na Mzee wako..
Siri kali[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mzee wetu Mohamed Said asante kwa kutujuza ya Chande, hakika alikuwa mzalendo. Pia sasa nafahamu wewe na Dr. Dau mmetoka mbali, ndiyo maana mnaliliana. Kweli wazee wa Kariakoo siwawezi, mpo tofauti lakin hadithi yenu moja.
Lol...
Sasa mbona unataja [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Saigon bwana sio mchezo
 
dah hapo wametajwa watoto wa mjini, Mzee Janguo dah kitambo sana..
 
Mkuu Oscar Kambona..alivyorudi kutoka UK,alitwambia pale Jangwani kuhusu Amir Jamal,JK Nyerere na Mfaume Kawawa ..
kwamba wana fedha nyingi nje ya nchi!..Huyu muhindi ndiye alitumiwa sana..
Oh! Lkn kambona ulitegemea aseme nini juu ya mahasimu wake?ushahidi alitoa?
...lkn si ni Kambona huyohuyo, kwa kutokuwajua watanzania wa miaka hiyo, aliongea alipokuwa dodoma kuwa, "chini ya ardhi ya Dodoma kuna maji mengi, wakimchagua kuwa raisi atayachimba ili watu wayatumie"!
 
Leo ndio siri imefichuka, ni wazi Dr Dau amewabeba sana ndugu zake katika imaani hasa huyu Mzee Mohammed Said, karani ambaye alikuwa na access ya kuingia hadi board meeting.
Ni kweli kabisa,
 
Pia Mzee Janguo alikuwa mkurugenzi ''relwe'' na pia katibu mkuu wizara fulani kama sijakosea,hao watoto wake walikuwa wakipaishwa sana kwenye Twanga na Mzee wa Farasi ,pamoja na marehemu Banza mtoto wa Sinza
 
Jenguo huyu alikuwa mbunge wa Kisarawe kwa miaka makumi kadhaa??
Sasa nimeelewa "urafiki' wa Mzee Said na Dau ulisarujiwa wapi haswaa
Dunia ina mambo hii[emoji3] [emoji3] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji99]
 
JokaKuu....muandike sasa historia ya Tanzania. Kuna watu wenye nia ya kuipotosha
 
Sio kiwanda chake bali chao cha familia, na kilipotaifishwa yeye aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa hicho kiwanda cha "Serikali"
Cc: Sky Eclat
 
Si utani wale watoto walianza kula bata long time, ninakumbuka miaka ile ya awamu ya kwanza holiday walikuwa wanakwenda London.

Naomba unikumbushe yule aliyekuwa nadhani mkutugenzi wa Nadhani Tanapa? (Ndolanga?) Naye alikuwa anatingisha sana kipindi cha Janguo, yeye alikuwa Arusha lakini fujo zake mpaka dar. Hivi Asha Baraka (Twanga, Biko) alikuwa na udugu na Janguo?

Dar ilikuwa moto sana kipindi hicho, maana hapa kuna Ngida C (juma ngida), Abdul msomali, Abbass Mwinyi, Jimmy, john fedha, Macheni (Husein), Asha Baraka, ect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…