Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 548
- Thread starter
- #61
Sio kwamba ni fikra zakoKama ni ke umeombwa tigo nakama ni me umepewa tg
Sio kwamba ni fikra zakoKama ni ke umeombwa tigo nakama ni me umepewa tg
uzinzi ni nini?Uzinzi
Kujamiiana kwa wasio wanandoa au ameoa au kuolewa anafanya ngono na mtu mwingine back asiye mume au mke wake.uzinzi ni nini?
Huu sasa ni ubwegeKujamiiana kwa wasio wanandoa au ameoa au kuolewa anafanya ngono na mtu mwingine back asiye mume au mke wake.
Kujamiiana kwa wasio wanandoa au ameoa au kuolewa anafanya ngono na mtu mwingine back asiye mume au mke wake.
Hapa sasa ndipo usahihi wa maana yangu unakuja... Swhemu gani imesema ni kuburudishana!?hapana ni kujamiiana kati ya mwanandoa na asie mwanandoa.
kama unavoona andiko limewalenga wanandoa tu, kwahio wale watu ambao sio wanandoa wakijamiiana wenyewe kwa wenyewe hawajazini, wameburudishana tu mkuu.
kulingana na nini?Huu sasa ni ubwege
Mko wachacheumesema kitu cha maana sana ila uzi huu sijui kama utapata wachangiaji maana nina uhakika robo tatu ya wanachama ni hawa watu wenye kuhalalisha dhambi. niwasubiri watakatifu wenzangu
KuhusuHaujaeleweka mkuu
Kwahyo ww uovu huujui!? Means kila baya ulijualo wwMambo gani maovu yanahalalishwa!?
Usitake kufanya kila mtu yupo kwenye ubongo wako ajue ni mambo gani!!
soma hio amri vizuri. haiwahusu wasio wanandoa wanaojamiiana wenyewe kwa wenyewe. hio amri inawahusu wanandoa wachepukaji.Hapa sasa ndipo usahihi wa maana yangu unakuja... Swhemu gani imesema ni kuburudishana!?
Duh we sasa muongo au pengne hunaelewa maana ukisoma mwanzo hadi mwisho hkn sehemu imeruhusu kufanya uzinzi. Lsbda upande wa pili kwa waislam japo na penyewe sidhansoma hio amri vizuri. haiwahusu wasio wanandoa wanaojamiiana wenyewe kwa wenyewe. hio amri inawahusu wanandoa wachepukaji.
na ukisoma vizuri kabla ya agano jipya kutoka hio amri ilikua inawahusu wanawake tu walioolewa na bado wanachepuka, haikuwahusu wanaume, na ndo mana wanaume wa agano la kale walikua na wanawake wengi, sababu kwao haikuhesabika kama dhambi.
ndo mana kabla cjaleta hii mada nkakuuliza uzinzi ni nini. si kwamba nilikua sijui maana utakayonipa, nilikuuliza kwa makusudi. katiba ya tanzania inaruhusu mwanaume kuoa binti mdogo ila katika jamii tumeongeza vipengele vyetu wenyewe kichwani kwamba sio vizuri mwanaume kuoa binti mdogo. naona na wewe neno la mungu unaliamendi tu mkuu.Duh we sasa muongo au pengne hunaelewa maana ukisoma mwanzo hadi mwisho hkn sehemu imeruhusu kufanya uzinzi. Lsbda upande wa pili kwa waislam japo na penyewe sidhan
angalauMko wachache
We chalii unahalalisha uovu kuwa wema... Eti kuzini ni kwa wengine isipo kuwa wanandoa kuchepuka!!!!? Jamaa we muongo sana....ndo mana kabla cjaleta hii mada nkakuuliza uzinzi ni nini. si kwamba nilikua sijui maana utakayonipa, nilikuuliza kwa makusudi. katiba ya tanzania inaruhusu mwanaume kuoa binti mdogo ila katika jamii tumeongeza vipengele vyetu wenyewe kichwani kwamba sio vizuri mwanaume kuoa binti mdogo. naona na wewe neno la mungu unaliamendi tu mkuu.
ndo mana kabla cjaleta hii mada nkakuuliza uzinzi ni nini. si kwamba nilikua sijui maana utakayonipa, nilikuuliza kwa makusudi. katiba ya tanzania inaruhusu mwanaume kuoa binti mdogo ila katika jamii tumeongeza vipengele vyetu wenyewe kichwani kwamba sio vizuri mwanaume kuoa binti mdogo. naona na wewe neno la mungu unaliamendi tu mkuu.