Siku hizi watu tunahalalisha dhambi

Hakuna mkamilifu Hilo ujue

Huyu mkosaji kwa dhamira ya dhati kabisa alitubu na kuomba radhi kwa baba yake na kwa haki kabisa aliomba afanywe kijakazi pale lkn baba yake akamsamehe na kitendo hicho kikainua chuki ya ndugu yake

Mimi naona alifanya kwa haki kabisa
Na ni nani aliyebarikiwa zaidi?
Ni yule mchotaji wa mali au yule aliebaki na babaye?
 
Aliyechota mali
Kwa mtazamo wangu sioni ni kwa jinsi gani baba alikuwa sahihi kumbariki zaidi mchotaji mali.
At least angetoa baraka sawa kwa wote.

Kwa hiyo tunaweza kusema kwa mchotaji mali Baba alikuwa sahihi (kwa maana ya kuwa hakutenda dhambi kwa chaguo lile)
Lakini kwa yule mwana mwingine aliona baba hajamtendea haki (Dhambi)

So,
Dhambi hutofautiana baina ya mtu na mtu,
Tendo moja linaweza kuwa dhambi kwangu mimi ila kwako likawa ni halali kabisa.
Ni hayo tu.

I stand to be corrected.
 
Kwa mtazamo wangu sioni ni kwa jinsi gani baba alikuwa sahihi kumbariki zaidi mchotaji mali.
At least angetoa baraka sawa kwa wote.

Kwa hiyo tunaweza kusema kwa mchotaji mali Baba alikuwa sahihi (kwa maana ya kuwa hakutenda dhambi kwa chaguo lile)
Lakini kwa yule mwana mwingine aliona baba hajamtendea haki (Dhambi)

So,
Dhambi hutofautiana baina ya mtu na mtu,
Tendo moja linaweza kuwa dhambi kwangu mimi ila kwako likawa ni halali kabisa.
Ni hayo tu.

I stand to be corrected.
Dhambi kwangu mimi nimezungumzia chuki, ukosefu wa upendo uthamini na kujali mkuu kwa binadamu wenzio ni kitu kibaya sijakulazimisha uyakubali maneno yangu
 
Dhambi kwangu mimi nimezungumzia chuki, ukosefu wa upendo uthamini na kujali mkuu kwa binadamu wenzio ni kitu kibaya sijakulazimisha uyakubali maneno yangu
Sawa kabisa ukiwa na upendo huwezi fanya kwa nafsi yako au kumfanyia mwingine uonevu au kumuudhi....
 
ni nachojua dhambi ni kumtendea mwenzio jambo ambalo wewe hupendezewi kufanyiwa, mfano, kama hupendi tundu lako lichokolewe, basi usiombe tigo, kama hupendi kusemwa basi usisimange, kama hivyo yaani
Duh kwahyo ww unapenda uchokonolewe tundu hivyo na wengine unawafanyia vivyo hivyo!?
 
kabisa.

kula nguruwe ni dhambi kwa waislam ila halali kwa wakristo.

ni halali kwa wakristo kusema Yesu ni Mungu ila kwa waislamu ni dhambi, mwanadamu hawezi kuwa Mungu.

kwa waislam ni halali kusema kuna majini wazuri na wabaya, kwa wakristo kuamini majini ni dhambi na hakuna majini wazuri kwa maana zote ni roho chafu.

kwa hio dhambi ni tafsiri binafsi tu inayotokana na mazingira mtu aliyokulia. watu wanakosea kwenye kugeneralize mambo. there's no generalization, there's no one answer for all questions. Once u understand that you will live a peaceful life.
Kwahiyo unataka kuseme unaamini katika nini!?
 
Kitu kinaweza kuwa dhambi kwako lakini kikawa halali kwa mwingine..
Kwahiyo ushoga kwako fresh sio dhambi bali ni halali!? Kwa hyo fresh tu kufanya zinaa!? Maana kila kitu Mungu anakusudi lake kwetu so we hujali!? Au unaamini katika nini!?
 
Kwahiyo ushoga kwako fresh sio dhambi bali ni halali!? Kwa hyo fresh tu kufanya zinaa!? Maana kila kitu Mungu anakusudi lake kwetu so we hujali!? Au unaamini katika nini!?
Wapi nimesema ushoga kwangu sawa tu?!





Ni wapi nimetetea zinaa?!






Kisa we unaamini ktk Mungu unadhani kila mtu anaamini vivyo kama wewe??
 
Back
Top Bottom