Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

Burrell

JF-Expert Member
Feb 4, 2024
302
583
Wadau naomba mnisaidie kudadavua hili jambo ninaliliona.

Kuna mgahawa kuanzia kama miaka miwili nyuma hadi hivi leo huwa ninakwenda kila siku kupata chakula cha mchana au mara nyingine kuchukua takeaway.

Kuna DADA ni mmoja wa wahudumu kwenye huo mgahawa ambao ni mkubwa tu katika huu mji ninaokaa. Huyu dada siku za nyuma alikuwa akiniona nimefika, ananichangamkia na kunitania tania mbele ya baadhi ya wafanyakazi wenzake wa kike utani wa kama vile mimi ni "jamaa yake" ila mimi sikuwa na hisia nae zozote wala kumwambia lolote kutokana na utani utani wake, kwasababu nikawa nachukulia anachoifanya ni utani tu na wala sio serious anachofanya!

Sasa siku za karibuni naona huyu dada kabadilika, hataki ukaribu na mimi wala kuongea na mimi tofauti na ilivyokuwa hapo nyuma.
Mfano, kuna mara mbili nimefika akaja mezani kunisikiliza halafu, oda ya chakula nikaletewa na muhudumu mwenzake, kitu ambacho kikanionesha ni dhahiri kuna kitu kinachoendelea ndani ya nafsi yake huyu dada.

Naomba kujua ndugu zangu, huyu dada anaweza kuwa amebadilika kwasababu gani?

Nauliza tu, ingawa mimi hili jambo haliniumizi kichwa kwasababu hata sina hisia nae zozote. Na hata kama huyu dada ana hisia na mimi, kwenye huo mgahawa sina mazoea wala ukaribu na muhudumu mwingine yeyote wa kike kusema labda amenihisi nina uhusiano nae kisha yeye ndio akaona wivu au kuwa na kama chuki.

Ahsanteni.
 
Mtu kashaondolewa Attention anaanza kupagawa huku, sisi wanaume huwafanyia hivi wanawake ili wapagawe kwa kukosa Attention tutimize lengo fulani. Ila wewe mwanaume ndio umefanyiwa na mwanamke na ulivyokuwa mjinga umepagawa.

Huyo mwanamke alihudhuria kikao cha week iliyopita cha wanaume na kuiba notes wewe ulijifanya kutega unaona sasa.
 
Wadau naomba mnisaidie kudadavua hili jambo ninaliliona.

Kuna mgahawa kuanzia kama miaka miwili nyuma hadi hivi leo huwa ninakwenda kila siku kupata chakula cha mchana au mara nyingine kuchukua takeaway.

Kuna DADA ni mmoja wa wahudumu kwenye huo mgahawa ambao ni mkubwa tu katika huu mji ninaokaa. Huyu dada siku za nyuma alikuwa akiniona nimefika, ananichangamkia na kunitania tania mbele ya baadhi ya wafanyakazi wenzake wa kike utani wa kama vile mimi ni "jamaa yake" ila mimi sikuwa na hisia nae zozote wala kumwambia lolote kutokana na utani utani wake, kwasababu nikawa nachukulia anachoifanya ni utani tu na wala sio serious anachofanya!

Sasa siku za karibuni naona huyu dada kabadilika, hataki ukaribu na mimi wala kuongea na mimi tofauti na ilivyokuwa hapo nyuma.
Mfano, kuna mara mbili nimefika akaja mezani kunisikiliza alafu, oda ya chakula nikaletewa na muhudumu mwenzake, kitu ambacho kikanionesha ni dhahiri kuna kitu kinachoendelea ndani ya nafsi yake huyu dada.

Naomba kujua ndugu zangu, huyu dada anaweza kuwa amebadilika kwasababu gani?

Nauliza tu, ingawa mimi hili jambo haliniumizi kichwa kwasababu hata sina hisia nae zozote. Na hata kama huyu dada ana hisia na mimi, kwenye huo mgahawa sina mazoea wala ukaribu na muhudumu mwingine yeyote wa kike kusema labda amenihisi nina uhusiano nae kisha yeye ndio akaona wivu au kuwa na kama chuki.

Ahsanteni.
Hapo mgahawani unaenda kula au unaenda kutaniwa(kuchangamkiwa), ni wazi ulikuwa unafurahia utani.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Wadau naomba mnisaidie kudadavua hili jambo ninaliliona.

Kuna mgahawa kuanzia kama miaka miwili nyuma hadi hivi leo huwa ninakwenda kila siku kupata chakula cha mchana au mara nyingine kuchukua takeaway.

Kuna DADA ni mmoja wa wahudumu kwenye huo mgahawa ambao ni mkubwa tu katika huu mji ninaokaa. Huyu dada siku za nyuma alikuwa akiniona nimefika, ananichangamkia na kunitania tania mbele ya baadhi ya wafanyakazi wenzake wa kike utani wa kama vile mimi ni "jamaa yake" ila mimi sikuwa na hisia nae zozote wala kumwambia lolote kutokana na utani utani wake, kwasababu nikawa nachukulia anachoifanya ni utani tu na wala sio serious anachofanya!

Sasa siku za karibuni naona huyu dada kabadilika, hataki ukaribu na mimi wala kuongea na mimi tofauti na ilivyokuwa hapo nyuma.
Mfano, kuna mara mbili nimefika akaja mezani kunisikiliza alafu, oda ya chakula nikaletewa na muhudumu mwenzake, kitu ambacho kikanionesha ni dhahiri kuna kitu kinachoendelea ndani ya nafsi yake huyu dada.

Naomba kujua ndugu zangu, huyu dada anaweza kuwa amebadilika kwasababu gani?

Nauliza tu, ingawa mimi hili jambo haliniumizi kichwa kwasababu hata sina hisia nae zozote. Na hata kama huyu dada ana hisia na mimi, kwenye huo mgahawa sina mazoea wala ukaribu na muhudumu mwingine yeyote wa kike kusema labda amenihisi nina uhusiano nae kisha yeye ndio akaona wivu au kuwa na kama chuki.

Ahsanteni.

Siku ukikua utaacha ku deal na petty things kama hizo, yaani hili nalo ni la kuleta jf?
 
Mtu kashaondolewa Attention anaanza kupagawa huku, sisi wanaume huwafanyia hivi wanawake ili wapagawe kwa kukosa Attention tutimize lengo fulani. Ila wewe mwanaume ndio umefanyiwa na mwanamke na ulivyokuwa mjinga umepagawa.

Huyo mwanamke alihudhuria kikao cha week iliyopita cha wanaume na kuiba notes wewe ulijifanya kutega unaona sasa.
Mkuu kuniondolea attention yake hainiumizi, sina hisia nae zozote huyu dada.
 
Wadau naomba mnisaidie kudadavua hili jambo ninaliliona.

Kuna mgahawa kuanzia kama miaka miwili nyuma hadi hivi leo huwa ninakwenda kila siku kupata chakula cha mchana au mara nyingine kuchukua takeaway.

Kuna DADA ni mmoja wa wahudumu kwenye huo mgahawa ambao ni mkubwa tu katika huu mji ninaokaa. Huyu dada siku za nyuma alikuwa akiniona nimefika, ananichangamkia na kunitania tania mbele ya baadhi ya wafanyakazi wenzake wa kike utani wa kama vile mimi ni "jamaa yake" ila mimi sikuwa na hisia nae zozote wala kumwambia lolote kutokana na utani utani wake, kwasababu nikawa nachukulia anachoifanya ni utani tu na wala sio serious anachofanya!

Sasa siku za karibuni naona huyu dada kabadilika, hataki ukaribu na mimi wala kuongea na mimi tofauti na ilivyokuwa hapo nyuma.
Mfano, kuna mara mbili nimefika akaja mezani kunisikiliza alafu, oda ya chakula nikaletewa na muhudumu mwenzake, kitu ambacho kikanionesha ni dhahiri kuna kitu kinachoendelea ndani ya nafsi yake huyu dada.

Naomba kujua ndugu zangu, huyu dada anaweza kuwa amebadilika kwasababu gani?

Nauliza tu, ingawa mimi hili jambo haliniumizi kichwa kwasababu hata sina hisia nae zozote. Na hata kama huyu dada ana hisia na mimi, kwenye huo mgahawa sina mazoea wala ukaribu na muhudumu mwingine yeyote wa kike kusema labda amenihisi nina uhusiano nae kisha yeye ndio akaona wivu au kuwa na kama chuki.

Ahsanteni.
Kifupi kakuona wewe ni nyuki wa mashineni 😂 na keshapata aliefanya kweli!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom