Siku hizi vyama vya wafanyakazi vimekuwa haviheshimu mahakama

Nyie magamba mnaodai vyama vya wafanyakazi havifuati sheria msituzingue!!. Kwani nyie sheria mnazijua? Siri ya mtungi aijuaye kata, nyie mnajua nn kuhusu mchakato waliofuata walimu hadi kufikia hatua ya kugoma? Je, mnajua kuwa mgomo ule ni wa kisheria? Au kwa kuwa mnakula na mafisadi sasa mnakufuru kwa kuvimbiwa? Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu na udhalimu wenu una mwisho. Nyambaf!
 
Gwalihenzi.

Ni kwamba

Kama Mahakama imeziamuru pande zote mbili kukamilisha maelezo, IMPLIEDLY imesema kuwa baada ya maelezo ndio itatoa LOCUS STANDE ya shauri la Walimu. Kitendo cha wao kutangaza Mgomo kuanzia tarehe 30, wakati Mahakama imeagiza Maelezo yawe submitted tarehe 31 ni kukiuka LEGAL GUIDANCE ya Mahakama. All parties ought to honour the wise directive of the Court.

Sio CWT kutafuta loophole ya kukanyaga 240 million Tshs kwa njia za ubabaishaji. Wangesubiri shauri halali ya mahakama.

Hiyo hela wangetumia sehemu ndogo kuajiri Mawakili Mahiri watete shauri lao Mahakamani

Mahakama haijatoa hukumu kwamba mgomo usimamishwe. Wewe unakuja na hisia zako za kiserikali kana kwamba unamuamru spika wa bunge azuie mijadala bungeni! loo umeshindwa jamaa yangu.
 
La Msingi ni :-


  1. CWT na Serikali walienda wote Mahakamani;
  2. CWT waliiambia Mahakama wanataka kugoma;
  3. Serikali ikasema kuwa mgomo wa CWT una madhara makubwa kwa watoto wa Watanzania; hususan wale wa kidato cha 6 wanaotazamiwa kufanya mitihani, na kwamba walikuwa wanaendelea na majadiliano na CWT;
  4. Baada ya kusikiliza hoja zao, mahakama ikaona kuwa pande zote hazijatoa maelezo ya kutosha;
  5. Mahakama ikawaamuru waende kuandaa maelezo yao (pande zote) na kuwasilisha Mahakamani ifikapo tarehe 31/7/2012 ili iweze kutoa SHAURI.

Kilichofuatia:-


  1. Serikali ikatii na kuenda kuandaa maelezo yake;
  2. CWT wakaona Mahakama haina maana, wakaona hawaitaki; wakaona linalofaa ni kugoma kuwahudumia watoto wa Watanzania kwa kuwapa elimu [Kumbuka kuwa watoto wa wakubwa hawasomi shule zinazosomeshwa na walimu wa CWT, akiwemo FREEMAN, anaechochea mgomo huu], wakaona watumie Tshs 240 million kuhakikisha mgomo unakuwa; wakachukua sheria mikononi, wakaidharau Mahakama.

KATA ya kwenye Mtungi ni mbili


  1. Walimu ambao ni wanachama wa CWT; wanachangia hela halafu zinatumiwa na akina MKOBA kuitisha mgomo pasipo sheria na kuzitia matumboni mwao, UFISADI uko kila pahali, TANESCO, DOWANS, RICHMOND na CWT; na
  2. Wanafunzi ambao ni watoto wetu Makabwela, sio Watoto wa Freeman wala ndesapesa.

KAZI KWAKO


Nyie magamba mnaodai vyama vya wafanyakazi havifuati sheria msituzingue!!. Kwani nyie sheria mnazijua? Siri ya mtungi aijuaye kata, nyie mnajua nn kuhusu mchakato waliofuata walimu hadi kufikia hatua ya kugoma? Je, mnajua kuwa mgomo ule ni wa kisheria? Au kwa kuwa mnakula na mafisadi sasa mnakufuru kwa kuvimbiwa? Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu na udhalimu wenu una mwisho. Nyambaf!
 
HALAFU HII KAULI

'Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu' inatumika vibaya.

Wacheni upotoshaji NYINYI wenye Fikra za ovyo za kutaka kuleta ghasia Bongo.

Watu tunataka tufikirie maendeleo na mambo makubwa

SIO KILA KUKICHA MIGOMO
 
La Msingi ni :-


  1. CWT na Serikali walienda wote Mahakamani;
  2. CWT waliiambia Mahakama wanataka kugoma;
  3. Serikali ikasema kuwa mgomo wa CWT una madhara makubwa kwa watoto wa Watanzania; hususan wale wa kidato cha 6 wanaotazamiwa kufanya mitihani, na kwamba walikuwa wanaendelea na majadiliano na CWT;
  4. Baada ya kusikiliza hoja zao, mahakama ikaona kuwa pande zote hazijatoa maelezo ya kutosha;
  5. Mahakama ikawaamuru waende kuandaa maelezo yao (pande zote) na kuwasilisha Mahakamani ifikapo tarehe 31/7/2012 ili iweze kutoa SHAURI.

Kilichofuatia:-


  1. Serikali ikatii na kuenda kuandaa maelezo yake;
  2. CWT wakaona Mahakama haina maana, wakaona hawaitaki; wakaona linalofaa ni kugoma kuwahudumia watoto wa Watanzania kwa kuwapa elimu [Kumbuka kuwa watoto wa wakubwa hawasomi shule zinazosomeshwa na walimu wa CWT, akiwemo FREEMAN, anaechochea mgomo huu], wakaona watumie Tshs 240 million kuhakikisha mgomo unakuwa; wakachukua sheria mikononi, wakaidharau Mahakama.

KATA ya kwenye Mtungi ni mbili


  1. Walimu ambao ni wanachama wa CWT; wanachangia hela halafu zinatumiwa na akina MKOBA kuitisha mgomo pasipo sheria na kuzitia matumboni mwao, UFISADI uko kila pahali, TANESCO, DOWANS, RICHMOND na CWT; na
  2. Wanafunzi ambao ni watoto wetu Makabwela, sio Watoto wa Freeman wala ndesapesa.

KAZI KWAKO

mtoa mada kama hufanyi makusudi, nina wasi wasi na akili yako.
 
Kama mahakama haina credibility nani mwenye credibility? Mnyika?????

Mkuu makame.. Tunaweza kuwa na mitazamo tofauti kwa masuala mbalimbali ya taifa hili lakini hilo halitufanyi tushindwe kuheshimu mitazamo ya watu wengine.... na hii ndio Tabia yangu. NINAHESHIMU MITAZAMO YA WATU WENGINE..Ninakushangaa unapoweka Jina la Mnyika katika Quote ya Post Yangu... Labda nikwambie hivi MIMI SIO MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA LAKINI HII HAINIONDOLEI WAJIBU WANGU WA KIKATIBA WA KUHOJI NA KUIWAJIBISHA SERIKALI YANGU PALE INAPOKWENDA KINYUME NA MATAKWA YA KIKATIBA, NA PIA HAINIZUII KUIPONGEZA INAPOFANYA VIZURI


Na Moja ya Wajibu wangu wa Kikatiba ni KUTOA MAONI YANGU KUHUSU UTENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE BILA KUVUNJA SHERIA Ambapo nimesema SIIAMINI MAHAKAMA kwani kwa siku za hivi karibuni imeonekana kuwa Kichaka cha maovu ya serikali hata baadhi ya wabunge wa chama Tawala Akiwemo Lugola wa Jimbo la Mwibara Kasema wazi.. siku Hizi ukisema unapeleka jambo mahakamani utaulizwa UNAHELA? Tena kama unashindana na Mtu anayekuzidi uwezo wa kifedha ndo usijaribu.. Hii Tafsiri yake Ni nini? Wapo baadhi ya watanzania wenye Mtazamo kama wangu wa kukosa imani sio na Mahakama tu bali na vyombo mbalimbali vya dola ikiwemo Polisi, hata kama tupo wawili tu lakini tupo tusiokuwa na imani na SERIKALI KWA UJUMLA..




KWA KUSEMA SINA IMANI NA MAHAKAMA NA VYOMBO VYAKE SITOKUWA NIMEVUNJA KATIBA WALA SHERIA YA NCHI NA SIMSHAWISHI MTU YOYOTE YULE AAMINI KAMA NINAVYOAMINI MIMI..
 
sasa mbona ueleweki kwani kila hoja yako inonekana kupambana na cdm,kwani walimu wameambiwa na cdm wagome au ni cwt.tatizo kubwa hapa serikali yetu inaelekea kupoteza muelekeo baada ya kuonekana kila watu wakidai haki zao badala ya kuzitatua yenyewe inakimbilia mahakamani.hapa tatizo siyo cdm bali serilkaili yenyewe

tena hatujaambiwa na CWT, CWT walichofanya walituuliza kama tunataka mgomo au laa.. TUKAPIGA KURA WENYEWE... KUGOMA tumeamua wenyewe na SIO CWT wala mtu yeyote yule.
 
MAHAKAMA INASIMAMIA HAKI; ikimpa ushindi MNYIKA ndio inakuwa imetenda haki?


Mkuu Makame: Mbona Post zako zimekuwa zikirudia Jina La Mnyika, magwanda na Chadema? Hivi Hivi ndio kujenga Hoja? Ina maana Yeyote mwenye mawazo tofauti na Post zako ni Mfuasi wa Chadema Na Mnyika?

UNADHANI MAHAKAMA ILIPASWA KUOMBA IHESHIMIWE? kitendo Cha wewe kuiombea Kwa WAna JF iheshimiwe tayari KUNAONYESHA ILISHAPOTEZA HESHIMA.. NA HESHIMA YA VYOMBO VYA DOLA HUJA AUTOMATIC KUTOKANA NA CONDUCT ZAKE..


Kama tunajadili hoja na Umekuwa mkweli kwa kusema MAHAKAMA IMEZUIA MGOMO
1: NAOMBA ULETE HAPA HIYO CORT INJUCTION
2: KWA NINI SERIKALI INAISEMEA MAHAKAMA?
IIACHE MAHAKAMA ISEME YENYEWE KWA NYARAKA. K/Mkuu wa chama cha walimu anatoa taarifa kuwa hawajapokea Zuio lolote la Mgomokutoka mahakamani, Mahakama haijasema imezuia Mgomo wewe na Serikali mnasema mahakama imezuia Mgomo. Hivi kuziamuru Pande mbili zilete maelezo zaidi ni sawa na Kusema imezuia Mgomo?


MDA UNAKUJA AMBAPO SIO TU MAHAKAMA BALI HATA VIFARU NA MAKOMBORA HAYATAHESHIMIWA
 
Tatizo la humu ndani kuna watu wanapinga Mahakama when it comes to their issue of interest; na wanashangilia mahakama when it comes to their issues of interest. Kusema Mahakama iheshimiwe sio suala la kuomba; bali kuwakumbusha kuwa kuidharau Mahakama ni kosa, tena hilo ni Kosa tangu JANA, LEO, KESHO na MILELE. Hata akitawala nani, kama mshafanya DHAMBI ya kutoiheshimu MAHAKAMA; hiyo dhambi itabaki na nyinyi. Tujifunze kuwa wastaarabu.

La mwisho Kabisa; conflicting parties zimeenda Mahakamani, na Mahakama ikaziamuru kwenda na kuandaa maelezo. Party moja haipaswi kuanza kuchukua hatua kivyake. Ni sawa wewe uwe umeenda na mwenzako unayemshtaki mahakamani; mkaamriwa kusubiri uchunguzi, alafu ukaamua kumjeruhi kwa kuwa Mahakama haijatoa ruling.

Let us be decent for Tanzania's sake

Mkuu Makame: Mbona Post zako zimekuwa zikirudia Jina La Mnyika, magwanda na Chadema? Hivi Hivi ndio kujenga Hoja? Ina maana Yeyote mwenye mawazo tofauti na Post zako ni Mfuasi wa Chadema Na Mnyika?

UNADHANI MAHAKAMA ILIPASWA KUOMBA IHESHIMIWE? kitendo Cha wewe kuiombea Kwa WAna JF iheshimiwe tayari KUNAONYESHA ILISHAPOTEZA HESHIMA.. NA HESHIMA YA VYOMBO VYA DOLA HUJA AUTOMATIC KUTOKANA NA CONDUCT ZAKE..


Kama tunajadili hoja na Umekuwa mkweli kwa kusema MAHAKAMA IMEZUIA MGOMO
1: NAOMBA ULETE HAPA HIYO CORT INJUCTION
2: KWA NINI SERIKALI INAISEMEA MAHAKAMA?
IIACHE MAHAKAMA ISEME YENYEWE KWA NYARAKA. K/Mkuu wa chama cha walimu anatoa taarifa kuwa hawajapokea Zuio lolote la Mgomokutoka mahakamani, Mahakama haijasema imezuia Mgomo wewe na Serikali mnasema mahakama imezuia Mgomo. Hivi kuziamuru Pande mbili zilete maelezo zaidi ni sawa na Kusema imezuia Mgomo?


MDA UNAKUJA AMBAPO SIO TU MAHAKAMA BALI HATA VIFARU NA MAKOMBORA HAYATAHESHIMIWA
 
Mngeamua wenyewe kugoma CWT isingeidhinisha Tshs 240 million zitumike kuhamasisha mgomo!
tena hatujaambiwa na CWT, CWT walichofanya walituuliza kama tunataka mgomo au laa.. TUKAPIGA KURA WENYEWE... KUGOMA tumeamua wenyewe na SIO CWT wala mtu yeyote yule.
 
Mbunge wa Jimbo la Mwibara kama kasema hivyo ndio tu generalize??

wacha hizo wewe

Rushwa inaweza ikawepo, kwa individuals lakini sio taasisi

Mkuu makame.. Tunaweza kuwa na mitazamo tofauti kwa masuala mbalimbali ya taifa hili lakini hilo halitufanyi tushindwe kuheshimu mitazamo ya watu wengine.... na hii ndio Tabia yangu. NINAHESHIMU MITAZAMO YA WATU WENGINE..Ninakushangaa unapoweka Jina la Mnyika katika Quote ya Post Yangu... Labda nikwambie hivi MIMI SIO MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA LAKINI HII HAINIONDOLEI WAJIBU WANGU WA KIKATIBA WA KUHOJI NA KUIWAJIBISHA SERIKALI YANGU PALE INAPOKWENDA KINYUME NA MATAKWA YA KIKATIBA, NA PIA HAINIZUII KUIPONGEZA INAPOFANYA VIZURI


Na Moja ya Wajibu wangu wa Kikatiba ni KUTOA MAONI YANGU KUHUSU UTENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE BILA KUVUNJA SHERIA Ambapo nimesema SIIAMINI MAHAKAMA kwani kwa siku za hivi karibuni imeonekana kuwa Kichaka cha maovu ya serikali hata baadhi ya wabunge wa chama Tawala Akiwemo Lugola wa Jimbo la Mwibara Kasema wazi.. siku Hizi ukisema unapeleka jambo mahakamani utaulizwa UNAHELA? Tena kama unashindana na Mtu anayekuzidi uwezo wa kifedha ndo usijaribu.. Hii Tafsiri yake Ni nini? Wapo baadhi ya watanzania wenye Mtazamo kama wangu wa kukosa imani sio na Mahakama tu bali na vyombo mbalimbali vya dola ikiwemo Polisi, hata kama tupo wawili tu lakini tupo tusiokuwa na imani na SERIKALI KWA UJUMLA..




KWA KUSEMA SINA IMANI NA MAHAKAMA NA VYOMBO VYAKE SITOKUWA NIMEVUNJA KATIBA WALA SHERIA YA NCHI NA SIMSHAWISHI MTU YOYOTE YULE AAMINI KAMA NINAVYOAMINI MIMI..
 
Heshima ina dhima ya Mlalo (horizontal) na sio Wima (vertical), kwa maana ya kuwa heshima ni kuheshimiana, sio wa chini kumheshimu wa juu bila ya yeye kuheshimiwa.
 
Serikali ndo imetuambukiza kutotii amri za mahakama. Mahakama iliamuru yule wakili maarufu jijini Arusha arudishiwe mali zake, serikali imegoma. Tatizo hizi mahakama zimeanza kudharaulika kwasababu ya hawa majaji makanjanja wa JK.
 
Mahakama yenyewe inashindwa kujitambua kama ni moja ya muhimili wa dola. Yenyewe inajiona kama tasisi ya serikali. Na ndiyo maana hata serikali inakuwa kuiagiza mahakama jinsi ya kutoa hukumu.
 
Tatizo la humu ndani kuna watu wanapinga Mahakama when it comes to their issue of interest; na wanashangilia mahakama when it comes to their issues of interest. Kusema Mahakama iheshimiwe sio suala la kuomba; bali kuwakumbusha kuwa kuidharau Mahakama ni kosa, tena hilo ni Kosa tangu JANA, LEO, KESHO na MILELE. Hata akitawala nani, kama mshafanya DHAMBI ya kutoiheshimu MAHAKAMA; hiyo dhambi itabaki na nyinyi. Tujifunze kuwa wasta
La mwisho Kabisa; conflicting parties zimeenda Mahakamani, na Mahakama ikaziamuru kwenda na kuandaa maelezo. Party moja haipaswi kuanza kuchukua hatua kivyake. Ni sawa wewe uwe umeenda na mwenzako unayemshtaki mahakamani; mkaamriwa kusubiri uchunguzi, alafu ukaamua kumjeruhi kwa kuwa Mahakama haijatoa ruling.

Let us be decent for Tanzania's sake

1: Na wewe pia unagneraliseamo kitu mbachsio ustaabu wa mtu yote yue uela.. Hawatu sio mimina nakupa kazi a kufatilia Pot zanu uone ama hat siku mja kma natawaja hao vingozi hao unaowsema
2: sio tu kuomba mahakama iheshimie lakini hata kitendo cha uwakmbushawatu ana yak wameahau na kiteno cha usahau a kinaonyesha taya kunatatizo toka knye hyo taasisi y serikaliingekuwa na udilifu watu wangeheshim bila kukumbushwa
Hiyo Dhambi imeletwa na Mahakma Yenyewe Kutokuiheshimu Jamii na no maana Inaaafuna wenyewe (Mahakama)

3: sawa sehemu zoteziliambiwa zrudi, j HIYO IMEFUTA HATI YA KUSHINDIKN KWA USULUHISHI AMBAYO CWT ALIPEWA


HAYA SASA WALMU TUMEGOMA.... LIWE LIWALO
 
HATA iWEPO SERIKALI GANI LAZIMA MAHAKAMA ZIWEPO.
LAZIMA MAHAKAMA ZIHESHIMIWE.
MABADILIKO SIO KWA KUASI SHERIA
MABADILIKO YANAWEZA KUPATIKANA NDANI YA SHERIA
WALA MAHAKAMA HUWA HAZIPINDI SHERIA KUIPENDELEA SERIKALI
MAHAKAMA ZINASIMAMIA SHERIA
NA PENYE MTAFARUKU, MAHAKAMA HUTAFUTA SULUHU MUAFAKA.
MBONA MNYIKA ALITAMKWA MSHINDI NA MAHAKAMA?????
WACHA FIKRA MGANO WEWE

Kama watu WOTE wangekuwa na AKILI kama zako leo hii Tanganyika ingekuwa bado inatawaliwa na WAKOLONI

Afrika Kusini ubaguzi wa rangi ungekuwa bado unaendelea.

USA Watu WEUSI wangekuwa hawaruhusiwi kupiga KURA achilia mbali kuota kuwa RAIS kama Obama!

Zanzibar ingekuwa chini himaya ya Sultan
 
Mbunge wa Jimbo la Mwibara kama kasema hivyo ndio tu generalize??

wacha hizo wewe

Rushwa inaweza ikawepo, kwa individuals lakini sio taasisi


Nadhani uauelewa mdogo wa mambo, naposea niegeneralie una maanagani? nanukuu sehemu ya post yangu
Wapo baadhi ya watanzania wenye Mtazamo kama wangu wa kukosa imani sio na Mahakama tu bali na vyombo mbalimbali vya dola ikiwemo Polisi, hata kama tupo wawili tu lakini tupo tusiokuwa na imani na SERIKALI KWA UJUMLA..

Saa Kugeneralse kumetoka wapi?

Pili: sio Lugolatu wap pia awaziri akiwmo mwakwembe, sitta na mwandosya sio tu kuwa hawan imnai a mahakama lakini pia hawaliamini Jeshi la Polisi... Ijekwa sisi raia wa kawaida?

Tatu: Rushwa inaweza kawp kwa individual na sio Taasisi...eheheheheeeee, unachekesha kwelina hapa ndipo naanzakupata wasiwasi a uwezo wako wakuelea... Hivi taasisi ni nani? Juzi umeona mfano muri ktoka bungen Baada ya spka kuvunj kaati ya kudumuya Bunge ya Nisai na Madinisio kwa uthibtisha lkini ni kutokana na TUHUMa kuwa baadh ya Wajumbe wake WAMTUHMIWA KULA RUSHWA Tafsiri yake iko wazi kuw mjumbehata kama ni 1 anaponga kwenye tuhuma huwa anaondoauminifu wa taasisi ili iaminike tena inahtaji kumuondoa au Kuvunja taasisi hiyo. sas sijui unamaaniha nini unaposemamtu mmoja sio taasisi.




TUWE WAKWELI
 
Mngeamua wenyewe kugoma CWT isingeidhinisha Tshs 240 million zitumike kuhamasisha mgomo!


Hiz ni Pesa za mchngo yetu na ioni shida hat kama sioingetuma ila tungetumiaHata Bilion 1kwa mstakbali wetu ew ambye hjazihangia napata shdagani? Kinachokuuma nini? Ni Bora CWT kuliko serikali inyotibiakila sku
 
Back
Top Bottom