Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,141
Kila kituo cha Daladala Dar es salaam kuna kijiwe kikubwa cha bodaboda.
Na kituo kimoja kikubwa unaweza kupata vijiwe vya bodaboda vitatu mpaka vitano.
Kila kwenye shughuli za kijamii lazima kuna kijiwe cha bodaboda.
Kama family ina trips nyingi za kutumia bodaboda, si ajabu bodaboda wakaweka kijiwe cha kudumu getini kwako.
Swali langu ni lile lile la siku zote.
Je, serikali imekubali kwa moyo mweupe kuwa kazi ya bodaboda ni ajira rasmi katika nchi hii?
Chekechea mwaka 1
Primary miaka 7
Secondary miaka 4
Advanced secondary miaka 2
University miaka 3
Jumla miaka 17, huyo ni smart in class na hajaumwa aliyepigwa rounds atapata degree kwa miaka 18- 19.
Anakuja kufanya kazi ya bodaboda ambayo amefundishwa kwa masaa 3.
Na kituo kimoja kikubwa unaweza kupata vijiwe vya bodaboda vitatu mpaka vitano.
Kila kwenye shughuli za kijamii lazima kuna kijiwe cha bodaboda.
Kama family ina trips nyingi za kutumia bodaboda, si ajabu bodaboda wakaweka kijiwe cha kudumu getini kwako.
Swali langu ni lile lile la siku zote.
Je, serikali imekubali kwa moyo mweupe kuwa kazi ya bodaboda ni ajira rasmi katika nchi hii?
Chekechea mwaka 1
Primary miaka 7
Secondary miaka 4
Advanced secondary miaka 2
University miaka 3
Jumla miaka 17, huyo ni smart in class na hajaumwa aliyepigwa rounds atapata degree kwa miaka 18- 19.
Anakuja kufanya kazi ya bodaboda ambayo amefundishwa kwa masaa 3.