siku hizi hasalimii

siku hizi hasalimii

watu wazima hao wanakupa makavu tu wala hawana haja ya kulumbana nawe
 
Hivi ban huwa zinatolewa kwa kuzingatia vigezo gani?
 
we zuzu anzisha ya kwako iliyo makini kuliko hii.
Acha hasira wewe, huku hatutukanani hapa ni hoja mwanzo mwisho..... kama unashindwa kudhibiti hasira yako japo kidogo kwa mtu unaemuona JF,Utaweza vip hata kupokea ushauri unaoambiwa na wadau, we umepewa ushauri halafu unamuita mtu zuzu... haipendezi... pole Heaven on earth...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom